Kwanini Muzungu aliwekeza sana kwa Wanasheria?

Kwanini Muzungu aliwekeza sana kwa Wanasheria?

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,838
Ukiangalia hakuna fani ambayo Waafrika tumebobea kama Sheria British Common law, maisha yetu yote yanazunguka hapa.

Hakuna Wanasayansi, hakuna Hisabati, hakuna Engineers lkn Wanasheria ni balaa wamejaa na ni wataalamu kweli kweli wa Utamaduni wa Muingereza, na hii haikuja kwa bahati mbaya kwani it’s by design Muzungu alifanya hivyo!
Sasa ni kwa nini? Kwa nini Muzungu hakujenga Universities zilizobobea kwenye mambo mengine labda Uchumi lkn akajenga na kuwekeza tu kwenye Sheria?

Ukiangalia wanaoibomoa Afrika ni Wanasheria, ukifwatilia uchaguzi wa Kenya utaliona hili, hata hapa Tanzania walishaanza huwo ujinga.

Nilichokuja kukiona ni kwamba hawa Wanasheria kwao ni michezo, ni kama wako field ndiyo maana kila siku wako Mahakamani tena wanawaambia watu wafanye fujo kwa makusudi hlf ,,tutakutoa” lkn nchi inasimama kwa ujinga wao!

Sasa ni kwa nini Muzungu aliwekeza sana kwenye Elimu ya Sheria?
 
Ili waje kupambana na mikataba fake wanayoisaini viongozi wetu bila kuisoma
 
Ukiangalia hakuna fani ambayo Waafrika tumebobea kama Sheria British Common law, maisha yetu yote yanazunguka hapa.

Hakuna Wanasayansi, hakuna Hisabati, hakuna Engineers lkn Wanasheria ni balaa wamejaa na ni wataalamu kweli kweli wa Utamaduni wa Muingereza, na hii haikuja kwa bahati mbaya kwani it’s by design Muzungu alifanya hivyo!
Sasa ni kwa nini? Kwa nini Muzungu hakujenga Universities zilizobobea kwenye mambo mengine labda Uchumi lkn akajenga na kuwekeza tu kwenye Sheria?

Ukiangalia wanaoibomoa Afrika ni Wanasheria, ukifwatilia uchaguzi wa Kenya utaliona hili, hata hapa Tanzania walishaanza huwo ujinga.

Nilichokuja kukiona ni kwamba hawa Wanasheria kwao ni michezo, ni kama wako field ndiyo maana kila siku wako Mahakamani tena wanawaambia watu wafanye fujo kwa makusudi hlf ,,tutakutoa” lkn nchi inasimama kwa ujinga wao!

Sasa ni kwa nini Muzungu aliwekeza sana kwenye Elimu ya Sheria?
Sina uwezo na huu uzi nfoja niwaachie wenyewe tu.
 
Mzungu aka mkoloni toka akitutawala aliwekeza sana kwenye kazi za utarishi ambazo ziliitwa white collar job, Lengo kuu la mkoloni kuwekeza kwenye kazi hizi na kudiscourage kazi za jasho kama Engineering and technology ilikuwa ni kuendelea kuwapumbaza waafrica MAANA MZUNGU ALIJUA TOKA KARNE HIZO BILA TEKNOLOJIA HAKUNA MAENDELEO..

UHASIBU,UANASHERIA, POLITICAL SCIENCE, UTAWALA, HUMAN RESOURCES, FINANCE, TAX hizi fani zililetwa makusudi kabisa na MKOLONI ili kuwapumbaza waafrica na kuendelea kuwaacha usingizini, FANI HIZO HAZIWEZI KABISA KUFANYA UBONGO WA MTU KUWA ACTIVE NA KULETA CHANGES YA MOJA KWA MOJA KWENYE JAMII.. KWA SASA KAMA TAIFA TULITAKIWA KUWA NA WATU WENGI WANAOSOMA SCIENCE,ENGINEERINA AND TECHNOLOGY KWENYE SHULE ZETU..

Mpaka sasa madarasa ya science kwenye shule na vyuo vyetu hayana watu wa kutosha na hii ni dalili au kiashiria kwamba tuko utumwani bado...

THINK TANK WA TAIFA HILI NDIO WAKULAUMIWA KWA KUSHINDWA KUTOA UELEKEO KWA WATU WANAOWATAWALA NJIA IPI WAELEKEE AUTOMATICALLY BAADALA YAKE NAO WAMEBAKI HAWANA JIPYA NA KUTOJUA WAPI TUMEKWAMA.
TOKA 1961 BADO MPAKA SASA TUMEENDELEA KUWA AGENT WA UKOLONI DUNIANI, KUWA AGENT WA UKOLONI HAULAZIMISHWI BALI AUTOMATIC TU KWA KUKOSA AKILI UNAJIKUTA HUKO NA UTAENDELEA KUIPIGANIA HALI HIYO KILA SIKU..

AKILI NDIO HUTAWALA DUNIA, UKISHINDWA KUTUMIA AKILI UTATAWALIWA BILA KUJIJUA..
 
Wazungu walikuwa na mitaala mizuri ila sisi wafrika tunajifanya tunajua sana
 
Kikwazo cha maendeleo ya mwafrika ni mwafrika mwenyewe , hoja ya kumlaumu mzungu haina mashiko kwa sababu kwanza sisi kwa sisi hatupendani na niwabnafsi na mzungu kwa kugundua tabia hzo anazitumia vilivyo kila iitwapo leo huoni kinachoendelea congo,uganda,zimbambwe, libya na sehemu zingine nyingi,

Kwa mfano libya mzungu wala hakutumia nguvu kuwavuruga walibya ubinafsi wa gaddafi kutotaka kuachia madaraka ulikuwa mtaji wake mkubwa, kwa hyo suala la kusema kuwa mzungu aliwekeza kwenye fani tajwa hapo juu kwa makusudi ni sahihi kwani mazingira ya kipindi hcho hayakuwa rafiki kuanzisha technology lkn tunapokuja kwenye inshu ya technology na maendeleo mengine tusikimbilie kumlaumu mzungu kwanza inatakiwa sisi wenyewe tuondokane na hizi tabia za ubinafsi na kutokupendanya sisi wenyewe mfano mzuri ni wahindi tu kwa sasa wapo mbele kwenye suala la technology na wameanzia chini kabisa walitawaliwa kama sisi pia lkn wao tabia nilizozitaja hapo juu ukiangalia wanapendana na ubinafsi kwao wamepunguza
 
Kikwazo cha maendeleo ya mwafrika ni mwafrika mwenyewe , hoja ya kumlaumu mzungu haina mashiko kwa sababu kwanza sisi kwa sisi hatupendani na niwabnafsi na mzungu kwa kugundua tabia hzo anazitumia vilivyo kila iitwapo leo huoni kinachoendelea congo,uganda,zimbambwe, libya na sehemu zingine nyingi, kwa mfano libya mzungu wala hakutumia nguvu kuwavuruga walibya ubinafsi wa gaddafi kutotaka kuachia madaraka ulikuwa mtaji wake mkubwa, kwa hyo suala la kusema kuwa mzungu aliwekeza kwenye fani tajwa hapo juu kwa makusudi ni sahihi kwani mazingira ya kipindi hcho hayakuwa rafiki kuanzisha technology lkn tunapokuja kwenye inshu ya technology na maendeleo mengine tusikimbilie kumlaumu mzungu kwanza inatakiwa sisi wenyewe tuondokane na hizi tabia za ubinafsi na kutokupendanya sisi wenyewe mfano mzuri ni wahindi tu kwa sasa wapo mbele kwenye suala la technology na wameanzia chini kabisa walitawaliwa kama sisi pia lkn wao tabia nilizozitaja hapo juu ukiangalia wanapendana na ubinafsi kwao wamepunguza


Ni wapi nimemlaumu Muzungu? Nimeuliza tu kwa nini ktk Elimu aliyoiacha Afrika kwetu ni kwenye Sheria tu ndiko alikowekeza klk maeneo yote? Yaani hkn fani ambayo Waafrika tuko vizuri kama kujifunza Utamaduni wa Uingereza yaani British Common law, hakuna fani ambayo inatoa Wataalamu wengi kama ya Sheria na hii ni legacy ya Muzungu, sasa kwa nini aliwekeza sana kwenye hii fani?
 
You are beautiful liar sheria inaendana na democracy na human rights
Africa ndio tunaongoza kusigina
 
Back
Top Bottom