kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Hawa kenge wa yanga wengi hawafuatilii mpira huwa wanasimuliwa na mademu zao tu.Hakumbuki hata Nigeria tulishinda ugenini
Unafatilia mpira kwa kina bwashee, Simba CAFCL hakuna mechi aliyofunga ugenini kweli au ile mechi ya As Vital 0-1 Simba kule Congo ilifutwa?