Kwanini Mukoko alipewa kadi nyekundu na Onyango akapewa kadi ya njano?

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,305
12,600
Wajuzi wa mpira hebu tufafanulieni humu kuhusu ubaya na ukubwa wa makosa waliyofanya Mukoko na Onyango wakati wa mechi ya Simba na Yanga kule kigoma.

Bocco alimfanyia madhambi Mukoko, badala ya kumuachia refa aamue atoe adhabu gani akajichukulia sheria mkononi ya kumpiga kiwiko Bocco na mwamuzi akamtoa nje kwa kadi nyekundu straight.

Yakuba alimfanyia makosa mchezaji wa Simba badala ya refa kumwadhibu Yacouba akatokea Onyango akamwangusha chini Yakuba kwa kumsukuma kwa nguvu na akaadhibiwa kwa kupewa kadi ya njano na kuendelea kucheza.

Swali hapa ni je, tofauti Kati ya kosa la Mukoko na kosa la Onyango ni nini?

Onyango alimsukuma mtu ambae hakumkosea yeye, Mukoko alimpiga kiwiko mtu ambae alimchezea rafu.

Bocco angeweza kuumia vibaya kutokana na kiwiko Cha makusudi na Yakuba angeweza kuumia vibaya kama angepiga kichwa chini pia.
 
We mjomba yanga kabisa kama umeona lile tukio Yakouba alifaa kupewa nyekundu maana alimchezea rafu yule mchezaji wa simba aliekua chini nimemsahau alikua nan af baada ya hapo konde boy akataka kucheza free kick unakumbuka Yacouba alimfanya nini pamoja na kumsukuma konde boy zaid ya mara mbili je konde boy alimkosea nini? Nadhan ndo sabab ya onyango nayeye kuja kumpush lakn yacouba hakupewa hata kadi. Umeelewa vema kama unakumbukumby
 
We mjomba yanga kabisa kama umeona lilr tukio yakouba alifaa kupewa nyekundu maana alimchezea rafu yule mchezaji wa simba aliekua chini nimemsahau alikua nan af baada ya hapo konde boy akataka kucheza free kick unakumbuka yacouba alimfanya nini pamoja na kumsukuma konde boy zaid ya mara mbili je konde boy alimkosea nn? Nadhan ndo sabab ya onyango nayeye kuja kumpush lakn yacouba hakupewa hata kadi.... Umeelewa vema kama unakumbukumby
Uko sahihi kabisa.
 
Sababu Mukoko anavaa Njano so akapewa kadi ambayo ni ya jersey ya Simba. Na Onyango anavaa Nyekundu so akapewa kadi ambayo ni ya Rangi ya Jersey ya Yanga

Wajuzi wa mpira hebu tufafanulieni humu kuhusu ubaya na ukubwa wa makosa waliyofanya Mukoko na Onyango wakati wa mechi ya Simba na Yanga kule kigoma.

Bocco alimfanyia madhambi Mukoko, badala ya kumuachia refa aamue atoe adhabu gani akajichukulia sheria mkononi ya kumpiga kiwiko Bocco na mwamuzi akamtoa nje kwa kadi nyekundu straight.

Yakuba alimfanyia makosa mchezaji wa Simba badala ya refa kumwadhibu Yacouba akatokea Onyango akamwangusha chini Yakuba kwa kumsukuma kwa nguvu na akaadhibiwa kwa kupewa kadi ya njano na kuendelea kucheza.

Swali hapa ni je, tofauti Kati ya kosa la Mukoko na kosa la Onyango ni nini?

Onyango alimsukuma mtu ambae hakumkosea yeye, Mukoko alimpiga kiwiko mtu ambae alimchezea rafu.

Bocco angeweza kuumia vibaya kutokana na kiwiko Cha makusudi na Yakuba angeweza kuumia vibaya kama angepiga kichwa chini pia.
 
Wajuzi wa mpira hebu tufafanulieni humu kuhusu ubaya na ukubwa wa makosa waliyofanya Mukoko na Onyango wakati wa mechi ya Simba na Yanga kule kigoma.

Bocco alimfanyia madhambi Mukoko, badala ya kumuachia refa aamue atoe adhabu gani akajichukulia sheria mkononi ya kumpiga kiwiko Bocco na mwamuzi akamtoa nje kwa kadi nyekundu straight.

Yakuba alimfanyia makosa mchezaji wa Simba badala ya refa kumwadhibu Yacouba akatokea Onyango akamwangusha chini Yakuba kwa kumsukuma kwa nguvu na akaadhibiwa kwa kupewa kadi ya njano na kuendelea kucheza.

Swali hapa ni je, tofauti Kati ya kosa la Mukoko na kosa la Onyango ni nini?

Onyango alimsukuma mtu ambae hakumkosea yeye, Mukoko alimpiga kiwiko mtu ambae alimchezea rafu.

Bocco angeweza kuumia vibaya kutokana na kiwiko Cha makusudi na Yakuba angeweza kuumia vibaya kama angepiga kichwa chini pia.
Kwasababu "Refa alikuwa na kadi hizo tu" Ya blue nenda harusini ndio zinapatikana.
 
We mjomba yanga kabisa kama umeona lile tukio yakouba alifaa kupewa nyekundu maana alimchezea rafu yule mchezaji wa simba aliekua chini nimemsahau alikua nan af baada ya hapo konde boy akataka kucheza free kick unakumbuka Yacouba alimfanya nini pamoja na kumsukuma konde boy zaid ya mara mbili je konde boy alimkosea nini? Nadhan ndo sabab ya onyango nayeye kuja kumpush lakn yacouba hakupewa hata kadi. Umeelewa vema kama unakumbukumby
Ndiyo maana kuna mwamuzi uwanjani, hata kama Yacouba angepewa kadi nyekundu kwa kosa lake sio vibaya ilimradi adhabu imetolewa na mwamuzi badala ya onyango kuamua yeye aina ya adhabu ya Yacouba. Kosa la mukoko na onyango yanafanana kabisa, tofauti ni ilikuwa Bocco alijichelewesha kuamka ili kumhadaa mwalimu kuwa aliumia sana na Yacouba aliwahi kuamka kutoka chini kuonyesha kuwa hajaumia sana. Lakini kama Yacouba nae angechelewa kuamka na kuanza kugalagala chini huku akishikilia kidogo chake kuwa amekibamiza chini ili kumhadaa mwamuzi unadhani asingetoa red card kwa onyango pasingechimbika pale?
 
Kosa lolote la kumpiga mchezaji mwenzako uwanjani ni kadi nyekundu. Halina mjadala. Kanuni za TFF pia zinaweza kumfungia mechi kadhaa na faini.

Onyango alimsukuma Yacouba, hakumpiga.
Kama kumsukuma chini mtu asiyekuwa na Mpira sio kosa yellow card mwamuzi aliitoa ya nini?
 
Wajuzi wa mpira hebu tufafanulieni humu kuhusu ubaya na ukubwa wa makosa waliyofanya Mukoko na Onyango wakati wa mechi ya Simba na Yanga kule kigoma.

Bocco alimfanyia madhambi Mukoko, badala ya kumuachia refa aamue atoe adhabu gani akajichukulia sheria mkononi ya kumpiga kiwiko Bocco na mwamuzi akamtoa nje kwa kadi nyekundu straight.

Yakuba alimfanyia makosa mchezaji wa Simba badala ya refa kumwadhibu Yacouba akatokea Onyango akamwangusha chini Yakuba kwa kumsukuma kwa nguvu na akaadhibiwa kwa kupewa kadi ya njano na kuendelea kucheza.

Swali hapa ni je, tofauti Kati ya kosa la Mukoko na kosa la Onyango ni nini?

Onyango alimsukuma mtu ambae hakumkosea yeye, Mukoko alimpiga kiwiko mtu ambae alimchezea rafu.

Bocco angeweza kuumia vibaya kutokana na kiwiko Cha makusudi na Yakuba angeweza kuumia vibaya kama angepiga kichwa chini pia.
KWANINI WANAUME HAWAKUZALIWA WANAWAKE
 
Kweli si kuacha zile penalt mbili yanga kwa kununua waamuzi hawajambo prison fc

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hii ndiyo sababu kubwa Simba inashinda mechi za nyumbani TU kwenye mashindano ya kimataifa, Al-Ahly na Kaizer Chiefs walizozifunga nyumbani kwa mazabe ndizo zilizocheza finali. Fluke, flukes hizi!!! Yanga kwa misimu 4 ilikuwa mbovu sana lakini pamoja na ubovu wake Simba lazima wafanye mpango kuifunga.
 
20210727_094628122841.jpg
 
Refa mwenyewe ni Mbulukenge tu! Na alipewa kuchezesha ile mechi kwa makusudi kabisa ili kuhakikisha mapaka fc wanashinda!

Kama aliweza kuwazawadia goli kwenye mechi na Azam dk ya 89, hata kwenye mechi ya fainali angehakikisha anatengeneza tu mazingira ya ushindi kwa mapaka wenzake!
 
Kosa lolote la kumpiga mchezaji mwenzako uwanjani ni kadi nyekundu. Halina mjadala. Kanuni za TFF pia zinaweza kumfungia mechi kadhaa na faini.

Onyango alimsukuma Yacouba, hakumpiga.
Kumsukuma mtu asiyekuwa na Mpira ni halali?
 
Hii ndiyo sababu kubwa Simba inashinda mechi za nyumbani TU kwenye mashindano ya kimataifa, Al-Ahly na Kaizer Chiefs walizozifunga nyumbani kwa mazabe ndizo zilizocheza finali. Fluke, flukes hizi!!! Yanga kwa misimu 4 ilikuwa mbovu sana lakini pamoja na ubovu wake Simba lazima wafanye mpango kuifunga.
Unafatilia mpira kwa kina bwashee, Simba CAFCL hakuna mechi aliyofunga ugenini kweli au ile mechi ya As Vital 0-1 Simba kule Congo ilifutwa?
 
Kumsukuma mtu asiyekuwa na Mpira ni halali?
Si halali.
Yackouba nae kabla ya kusukumwa na Onyango kwanza alimsukuma Merquison mara mbili alafu Onyango akaja ghafla kumsukuma Yackouba,kwaiyo kama refa kutoa kadi ya njano angetoa pia kwa Yackouba sio kwa Onyango pekeyake.
 
Back
Top Bottom