Kwanini moyo?

my name is my name

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
2,016
Reaction score
2,402
Kwanini watu wanasema moyo wangu umependa? Kwanini sio akili ,macho? Sababu kupenda kitu macho ndo yanaona, meseji inapelekwa kwenye ubongo, ubongo unafanya interpretation kama kitu kizuri, kibaya ubongo ndo unatambua kwanini watu wanasema moyo umependa kwanini waseme akili yangu imependa, macho yangu yamependa?
 
 
Ukisema wewe macho na ubongo wako umependa inatosha sisi tuache tunatumia Moyo
 
haka kabint nakaelewa sana daah....ngoja nipite nikiangalia comment na majiribu yake
 
moyo wangu umeupenda mwandiko wako.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…