Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,904
- 7,746
Hakuna utata wowote mkuu.Mnyika ni katibu wa wabunge wa cdm hivyo yupo responsible kwa masuala yote ya kibunge.Hili la chadema na katiba pia lilianzia bungeni,huu ni muendelezo tu.Hivyo elewa tu kuwa Mnyika anafanya hivyo kama katibu wa wabunge wa chadema sio kama katibu mkuu wa chama...!
Whats wrong with Mnyika Kukaimu? Hutaki damu changa zipewe nafasi?
Kwenye red ndipo lilipo lengo lako kuu, poor you.Mara kwa mara tumeona na kusikia John Mnyika akikaimu nafasi ya Katibu Mkuu wa CHadema.
Protokali ziko wazi kuwa Naibu Katibu MKuu hupaswa kukaimu nafasi ya Katibu Mkuu pindi katibu Mkuu anapokuwa hayupo.
Hili halifanyiki Chadema. Je Zitto haaminiki? Hana uwezo wa kushika nafasi hiyo nyeti? Au ni dini yake inamponza?
Na kwanini yeye mwenyewe yupo kimya halalamiki mtu wa chini yake kuwa bosi wake kwa muda chamani?
Slaa(PhD) na Zitto ni member humu, nawaomba watatue huu utata
Hivi Zitto alishamaliza shule huko Ujerumani? Inawezekana ikawa ni kwa sababu Zitto yuko busy na shule kwahiyo wangependa kumpa muda zaidi wa kusoma na kufanya shughuli za shule badala ya kuwa busy na shughuli za Chama. Mtoa mada nona unaanza kupandikiza udini hapo na hili ni tatizo kubwa sana kwa ndugu zetu waislamu maana hata kwenye sababu za msingi na zisizo na udini mnaanza kuhisi hivyo. Tujenge nchi yetu kwa pamoja tuache udini.
Hivi Zitto alishamaliza shule huko Ujerumani? Inawezekana ikawa ni kwa sababu Zitto yuko busy na shule kwahiyo wangependa kumpa muda zaidi wa kusoma na kufanya shughuli za shule badala ya kuwa busy na shughuli za Chama. Mtoa mada nona unaanza kupandikiza udini hapo na hili ni tatizo kubwa sana kwa ndugu zetu waislamu maana hata kwenye sababu za msingi na zisizo na udini mnaanza kuhisi hivyo. Tujenge nchi yetu kwa pamoja tuache udini.
Kwenye red ndipo lilipo lengo lako kuu, poor you.
Mara kwa mara tumeona na kusikia John Mnyika akikaimu nafasi ya Katibu Mkuu wa CHadema.
Protokali ziko wazi kuwa Naibu Katibu MKuu hupaswa kukaimu nafasi ya Katibu Mkuu pindi katibu Mkuu anapokuwa hayupo.
Hili halifanyiki Chadema. Je Zitto haaminiki? Hana uwezo wa kushika nafasi hiyo nyeti? Au ni dini yake inamponza?
Na kwanini yeye mwenyewe yupo kimya halalamiki mtu wa chini yake kuwa bosi wake kwa muda chamani?
Slaa(PhD) na Zitto ni member humu, nawaomba watatue huu utata
Zitto amezidi majigambo ya kishamba yule ndiyo maana wenzake wanampotezea tu. Akijirekebisha tutakuwa tunampa akaimu, asipojirekebisha alie tu.
Mkuu nafikiri hapo unapotoka!Kwanza ni kweli kwamba Nnyika aliwahi kukaimu nafasi ya katibu mkuu mara kadhaa! ,pili hili swala si la wabunge tu bali wanachana wa Cdm na watanzania wote!km ni swala la kibunge!hata zitto ni kaimu msemaji wa kambi ya upizani! AksanteHakuna utata wowote mkuu.Mnyika ni katibu wa wabunge wa cdm hivyo yupo responsible kwa masuala yote ya kibunge.Hili la chadema na katiba pia lilianzia bungeni,huu ni muendelezo tu.Hivyo elewa tu kuwa Mnyika anafanya hivyo kama katibu wa wabunge wa chadema sio kama katibu mkuu wa chama...!