superkabisa
Member
- Oct 13, 2019
- 67
- 49
Jana Ndege nyingine iliwasili nchini na hafla fupi ikafanyika kama ilivyo kawaida na Serikali ya awamu ya tano kujipongeza kwa hatua hiyo,Tuliwaona pia wanaccm wakifurahia Serikali iliyochini yao ikiongeza Ndege nyingine
Mimi ni mwanachi wa kawaida SIJAFUNGAMANA na upande wowote baada ya mapokezi yale
mtaani na kwenye mitandao hoja kubwa Kama Rais kapambana kuleta Ndege kuna watu sahihi wakuliendesha Shirka na je tumeingiza kias gani mpaka sasa hivi na tunapata faida ya kias gani kama bado uwekezaji uandelea ni lini haswa.
Lakini nzito zaidi ni hii kauli ya Rais ninainukuu kutoka mtandao wa millad ayo instagram "Juzijuzi hapa Waziri wetu alipokutana na Trump, Trump ametupongeza kwa kununua ndege Marekani na wakashikana mikono, hii inaonesha tukinunua ndege kwa wakubwa na sisi tunakuwa wakubwa wakubwa, tunamshukuru sana Trump na tunamuahidi tutaendelea kununua ndege nyingi Marekani na chaguo letu hasa ni Boeing maana ni ndege nzuri" - JPM
Kwa nini imekuwa na ukakasi je hatuwezi kuwa wakubwa,au Kupongezwa na Trump hakumaanishi tuko vizuri au wamekerwa na kauli ya kushikana mikono
Mimi ni mwanachi wa kawaida SIJAFUNGAMANA na upande wowote baada ya mapokezi yale
mtaani na kwenye mitandao hoja kubwa Kama Rais kapambana kuleta Ndege kuna watu sahihi wakuliendesha Shirka na je tumeingiza kias gani mpaka sasa hivi na tunapata faida ya kias gani kama bado uwekezaji uandelea ni lini haswa.
Lakini nzito zaidi ni hii kauli ya Rais ninainukuu kutoka mtandao wa millad ayo instagram "Juzijuzi hapa Waziri wetu alipokutana na Trump, Trump ametupongeza kwa kununua ndege Marekani na wakashikana mikono, hii inaonesha tukinunua ndege kwa wakubwa na sisi tunakuwa wakubwa wakubwa, tunamshukuru sana Trump na tunamuahidi tutaendelea kununua ndege nyingi Marekani na chaguo letu hasa ni Boeing maana ni ndege nzuri" - JPM
Kwa nini imekuwa na ukakasi je hatuwezi kuwa wakubwa,au Kupongezwa na Trump hakumaanishi tuko vizuri au wamekerwa na kauli ya kushikana mikono