Kwanini Mkoa wa Singida umetoa shule 3 kati ya 10 za mwisho matokeo ya darasa la saba 2017!!?

Nimeangalia historia ya matokeo ya mitihani darasa la saba kwa muda mrefu kwa mwaka 2017 ni mara ya kwanza kwa mkoa wa Singida kutoa shule 3 kati ya 10 za mwisho tena wilaya moja tarafa moja.

Sababu kubwa ni nini hasa kutokea hivi ukizingatia mkoa huu ni wa wakulima na wafugaji. Biashara ni kidogo sana

Upinzani upo jimbo moja tu mengine yote ni chama tawala.

Mkoa umefunguka kwa barabara za lami kila upande.
Nadhani wanasoma zaidi habari za lisu wangoje awape mtihani wake
 
Tangu zamani singida inakuwaga ya mwisho mazingira sio rafiki na elimu mazingira mabovu shule ziko mbali haimotivate walimu na wanafunzi pia
 
tanzania nzima ina matatizo kwenye elimu...
siku hizi shule zinashindana kukaririsha wanafunzi ili shule zao zikae juu na wao wafaidi mapesa
 
Back
Top Bottom