Kwanini Mkoa wa Njombe unaongoza kwa maambukizi ya HIV Tanzania?

View attachment 461162

Kwa muda mrefu nimekuwa nikisikia takwimu mbali mbali kupitia vyombo mbali mbali kuwa mkoa wa Njombe unaongoza kwa maambukizi na waathirika wa UKIMWI.

Swali langu ni la kidadisi(curiosity). Napenda kusikia toka kwa wataalamu na watafiti(kama tafiti zipo), kwanini isiwe majiji na mikoa mikubwa kama Dar, Mwanza, Mbeya n.k? Kama awali ilikuwa mkoa wa Kagera ndiyo ulioripotiwa mgonjwa wa kwanza na baadaye kuwa na waathirika wengi, ilikuwaje HIV iliruka mikoa ya hapo kati(Shinyanga, Tabora, Dodoma, Singida...) na kuufanya mkoa wa Njombe kuongoza?

Kama ni tohara kwa wanaume je, ni mikoa mingapi Tanzania hii walichelea kufanya tohara? Kwanini mikoa hiyo haijaathirika kiasi hicho? Japo kwa zamani(ninavyokumbuka) wilaya ya Makete(Njombe) ndiyo iliyokuwa ikiongoza na kwa sasa sina taarifa rasmi, bado ni jambo ambalo sina majibu yake, ilikuwaje mkoa wa Njombe uongoze kwa maambukizi?

Naomba wenye kufahamu majibu ya swali langu la msingi wanisaidie.

Kwanini Njombe?
Ni kwasababu uku kuna baridi kali alafu watu wanalewa sana na wanapo fanya mapenzi hawatumii kinga yani kondom pia na tohara ndio imeanza sasa ya kuhamasisha mkoa wa njombe na wilaya zake alafu kitu kingine wilaya za mkoa wa njombe zina watu wachache kwahiyo kuna kuzungukana mfano ukienda makete,ludewa ni wilaya zenye idadi ya watu wa chache
 
vijana wengi wa mkoa wa njombe hasa makambako ni wafanyabiashara, muda mwingi wanakaa mbali na familia wakiwa nje na familia huwa wanafanya ngono na watu wengine wakirudi wanatembea na wake zao.Ikitokea wamefariki ndugu zao hurithi wake waliowaacha kuna kipindi nilienda makete nilikuta idadi kubwa ya wazee na watoto wadogo makete ni wilaya mpya ya mkoa wa njombe
 
Ngoja tuulize swali dogo.

Hivi Njombe kuna wapiga katerero?

Hivi Njombe nako kuna mto Ngono?

Nimeuliza tu kwa kuwa Mkulu aliwatuhumu wale jamaa zetu wa kule Magharibi kuwa Ukimwi uliibukia kule na ndiyo maana ni kama wamepata 'laana' kutokana na Mkoa wao kuwa na mto Ngono na mto Katerero?
 
Mtoa mada naomba niunganishe na hili swali pia, Je ni mkoa gani ambao hauna waathirika wengi wa Ukimwi na nini sababu ya kutokua na idadi kubwa ya waathirika wengi kwa mkoa huo?
.......Sikutegemea kuona swali la namna hii!
 
Mtoa mada naomba niunganishe na hili swali pia, Je ni mkoa gani ambao hauna waathirika wengi wa Ukimwi na nini sababu ya kutokua na idadi kubwa ya waathirika wengi kwa mkoa huo?
Nadhani mkoa wa manyara ndio una idadi ndogo zaidi ya waathiririka Tanzania.
 
Manyara inaongoza kwa Tanzania kuwa na wastani wa 1.5 na wakati wenyeji ni wakristo karibu wote, acha uongo mkuu.
usiwe na akili mgando,manyara ni kijimkoa kidogo sana kilichomeguliwa,huwezi fananisha na pwani ambayo ni kubwa balala,so tukienda kwa ratio ya population against maambukizi utakuta pwani wana 0.00 na hata maambukizi ya pwani wanaoleta ni hao hao maana tunawaona wanakuja kusoma then hatuwaoni wakirudi kwao tunabanana hapa hapa mjini,rudini kwenu porini mkachunge ng'ombe msituletee ukimwi
 
Hiyo Mikoa yenye Waislam wengi ndiyo inaongoza kwa Mabwabwa
mbona mkipata chance ya kuja huku hamrudi kwenu...kubali kati ya haya mawili
1. wewe ni mtumiaji mzuri wa mabwabwa
2. wewe mtumiwaji mzuri
ndo maana baada ya kupata unachotaka ukalowea hapa kwa mabwabwa wenzio
 
Njombe inaongoza kwa idadi ya wakristo Tanzania nzima?
Unaweza kutusaidia uwianao wa idadi ya wakristo na dini nyingine kwa jiji la Dar, Arusha na Mwanza?
nenda ofisi ya takwimu wakusaidie,mimi takwimu zangu naangalia rate tu,ukimwi ukiwa mwingi basi wakristo ni wengi,ushahidi wa hilo angalia kidunia utaona nchi za waislam waarabu kama saud arabia ndo utapata jibu,yani ukimwi ni 0.0%
 
nyinyi hamuijui njombe.... Ukibahatika kufika njombe ulizia bar moja inaitwa TAREE.. Japo zipo nyingi ila hii ndio kiwanja kikubwa cha ufuska.. Ngono na pombe kwenda mbele.

halafu sababu kuu ya ugonjwa huu ni kwamba...bar nyingi za njombe zina tabia ya kubadilishana wahudumu..mfano baa A inawahudumu wakaliii basi kila kijana ataenda pale bila kusahu kuwa vijana wa pale wana pesa sababu ya biashara za mbao na mazao,

baada ya muda fulani kila kijana atakuwa kesha wazoea wale wahudumu hivyo watahama bar kwenda baa ya jirani kufata huduma, mmliki wa baa A ataongea na mwenye baa B labda makambako au mbeya na kubadilishana wahudumu, wa baa A wakoenda kule Bwataonekana wakaliii baa itajaa na ngono kuendelea na wale na hivyo hivyobkwa baa B.

hawa wahudumu husambaza ugonjwa kwa watu wa rika zote na hao watu hupeleka majumbani mwao.

Njombe wadada wachache sana na sio wazuriiii...
ila ukienda baa unakutana vyombo vya maanaa..ukisafiri ukirudi unakuta wale wahudumu hawapo ila kuna wakali zaidi ya wale...halafu pesa unayo matunizi hakuna kule.

Sehemu za kutumia hela ni pale kwa mfunye,tarree na agreement hotel...hakuna pengine sasa kwann usivute kahudumu kamoja...ukatafune taratibu huku ukipata kajoto na kaukimwi kwa mbali...

utumie pesa yako kwa uzuriii
sio Taree...ni TALE.....umesahau Sangamela......Equator nako hakuko nyuma kwa wahudumu
 
Kwa ufahamu wangu japo wawezakua mdogo...ni mlima kitonga unaopatikanna maeneo ya njombe ambayo zamani ilikua mkoa wa iringa...katika biashara ya usafirishaji wa mizigo kwa njia ya nchi kavu kuelekea nchi za jirani,magari mengi sana yalikua yakipita iringa road na kwasababu ya umbali na mwendo wa masaa mengi kutoka bandarini dar,madereva wengi walijikuta wakiingia maeneo ya njombe muda wa jioni...na kwa jinsi nilivyosikia ilitokea gang ya waporaji waliokua na uwezo wa kuamisha vitu kutoka gari moja kwenda jingine kipindi gari likipanda mlima kitonga kiasi cha kwamba mpaka dereva kuumaliza mlima anawezakuta mzigo mzima umekwishaporwa..Na ndipo madereva wengi wakasitisha kuupanda mlima ule kipindi cha usiku naendapo ikitokea wamechelewa basi wanaweka kambi mjini jirani na ule mlima.Na kama tunavyojua tabia za madereva wengi pamoja na wasaidizi wao...wanasifa kuu ya ulevi + wanawake...na ndipo wakajikuta wanafanya mapenzi na wamama na wadada wa maeneo yale kwa kipindi cha usiku wanapokua pala...na mwisho wasiku kwa jinsi mji ule ulivyo mdogo unajikuta mwanamke mmoja anawezatembea na wanaume zaidi ya wanne wa aina tofauti tofauti..Na hapo ndo chanzo kikuu cha kukua kwa uenezaji wa vvu kwa mkoa huo mpya.
mlima Kitonga uko Iringa mkuu ni mbali sana na Njombe.....
 
why..unguja na pemba kuna rate ndogo?and 99% ni muslim...inawezekana ukiristo na mafunzo yake ikawa tatizo ......

Tatizo hawapimi, sasa jidanganye rate ni ndogo ukafe. Kwanza wanaongoza kwa ngono, pili condom kupata ni shida.

Tatu ni wazuri sana kwa kuficha ukweli
 
Pemba..sababu..dini..tamaduni.

Pemba haipati mwingiliano wa watu wengi kutoka sehemu zingine ndio sababu pekee.

Suala la dini na tamaduni hazihusiki maana kule wanaongoza kwa kutumia 0713 ambayo ni hatari zaidi
 
nenda ofisi ya takwimu wakusaidie,mimi takwimu zangu naangalia rate tu,ukimwi ukiwa mwingi basi wakristo ni wengi,ushahidi wa hilo angalia kidunia utaona nchi za waislam waarabu kama saud arabia ndo utapata jibu,yani ukimwi ni 0.0%

Sawa.
 
Back
Top Bottom