Mbao zinauzwa na wabena na Wakinga. Njombe ni mkoa ambapo wangeni wachache sana au Hakuna kwenye biashara, kama Malori Dar, Dodoma na Moro ni Mengi kuliko huku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kula like mkuu.
Binafsi naunga mkono hoja ya biashara ya mbao na viazi. Hizo biashara zinafanyika kwa mapana sana na ndipo hapo wafanyabiashara hupata nafasi ya kurubuni wanawake vijijini kwa fedha nyingi na kuwalala.
Unategemea nini kama si kuambukizwa ukimwi?
Kingine ambacho umesahau ni njia panda. Ile ni njia panda ya kuelekea Mbeya na Ruvuma. Hivyo magari mengi hupumzika hapo baada ya kupima kwenye mzani. Sasa kama mjuavyo madereva wetu wakilala sehemu tena yenye baridi kama ile lazima walale na wanawake.
Mengineyo yote naunga mkono hoja zako
Sent using Jamii Forums mobile app