Kwanini mke wangu hataki kunisamehe?

Kwanini mke wangu hataki kunisamehe?

Kaka kwa akili ya kawaida tu ulimtendea jambo haya sana .msamaha no juu take mkeo kuamua kwani maumivu aloyapata ayajua
 
jaman mi naomba siku mtu aje na stori nzuri ya kuhusu ndoa. kila siku matatizo ya ndoa mi nakata tamaa kbs ya kuolewa, uwiiiiiii
 
duh pole sana mkuu ila uxlzmishe msamaha cha muhimu akurusu watoto wako tu uonane nao
 


wakuu nimefanya kosa gani kubwa la kustahili haya yote? Umeshakatika mwaka tangu aondoke home kwa tatizo hili sioni dalili njema siku za usoni na mimi nampenda mke wangu nahitaji turudiane cha kushangaza nyumbani kwao wanaona kama mimi ndio niliemrubuni yule shemeji yangu kwa aijili ya kumpa kazi wakati yeye ndio alinirubuni mimi.

Kwanini anakua na roho mbaya kiasi cha kushindwa kumsamehe mtu? Akina dada ukikosewa kiasi hiki unaweza kutaka kufanyiwa nini ili usamehe? Kwa ujumla napaswa kufanya kitu gani hasa kuweza kumu win tena wife? Maana kuna wanaomshawishi akadai talaka mahakamani sinajua a awaza nn kwa sasa.Nimekuja kwenu kwa Mara ya kwanza as a last resort to this problem.

Wana JF nifanye lipi liliobaki ili mke wangu arudi?

Your regards

ehhhhh upo serious kabisa unauliza kosa gani kubwa....hahahhahhahha uwiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom