Kwanini mke wangu hataki kunisamehe?

Hujitambui wewe.
 
kwanza sababu ya kutosamehewa nimeijua , una kauli chafu sana , unaleta ubabe japo umekosea,? unasema kabisa " kwa nini anakuwa na roho mbaya kiasi hiki" huoni wewe ndo una roho mbaya??? kwa hiyo unaona usaliti sio kosa la adhabu hio? unajua bibilia na quran vimebainiaha kosa lakuvunja ndoa ni udhinifu???

kwa style hyo maneno uliyoandika nakujiweka kama unaonewa yawezekana ukienda una maneno ya shombo sasa ngoja wenzio wapigepige akichoka vya mtaani hasira itaisha mtarudiana
 
Labda hujaonesha kweli ya dhati kwamba unauhitaji huo msamaha
 

Mtaani wakisha piga piga na hasira zikaisha akarudi kwa jamaa, atakuta jamaa keshavuta demu mwingine yy anageuka jamvi la wageni, bora akubali msamaha wa mshikaji
 
Ameshakusamehe. Angekuwa hajakusamehe angeshakuua....ulikuwa mdogo wake naye amepata mdogo wako anamla!
 
Hahahahahahahaha.....pole na bado hiyo dhambi itakutafuna mpaka uwe chiziiii..hapana chezea laana ya mke......
 
hizo harakati za kuomba msamaha ungezitumia kujiepusha na zinaa na shemeji yako wala yasingetokea hayo
 
Jamani kuna watu wengine wanaokuja hapa washakiri katika nafsi zao kama wamekosea, kama mtu unashindwa kumshauri ni vyema kuwa kimya kuliko kuzidi kumsakama, Mungu anasamehe iweje sie binadamu...Kaka kuhusu mkeo ana haki ya kukasirika nadhani endelea kumpa muda, chakufanya tubu dhambi yako halaf hili swala liweke kwenye maombi Umrudishe kupitia Maombi kwa muumba wako, ila sisi wanawake ni dhaifu mno, kila siku hakikisha unamtumia msg za kumuuliza hali yake na watoto, usiombe msamaha katika hizo msg bali ulizia hali, na pia umwambie kama utakuwa na tatizo lolote la kifedha nambie n.k..kifupi onyesha kumjali kwa kutumia mawasiliano ya simu, kama yupo kwenye whassap weka picha yenu ya harusi ikae hapo milele.....muongee muda ila usikate mawasiliano ya msg kila leo na hata simu piga kama anapokea kama hapokei endeleza msg ili asikusahau kwa haraka....fanya kama wamtongoza sasa.
 
Hustahili kusamehewa kabisa. Geuza hiyo story hlf wewe ndio uwe umemfumania mkeo ingekuwaje?...ungempa kipigo cha nguvu na kumfukuza ungemfukuza. Tena wanaume huwa hamsamehi kitu km hicho...iweje unamuona mkeo mkatili? Wewe ndio mkatili haswa..hukuona wanawake wengine mpk utembee na ndugu yake.

Halafu unatoa sababu za kijinga eti alikurubuni! Wanaume bana! Ukitaka kuchepuka nenda mzima mzima na akili zako timamu. Sio baadae useme umerubuniwa.

Pole...
Naomba namba ya mkeo nimpongeze.
Kuchepuka tunachepuka...tukikamatwa inakuwa Bahati mbaya...hatusemi tumerubuniwa...ukichepuka unakuwa na akili zako timamu na unajua nn unafanya. No regrets baadae
 

Mama mbona umekua mkali sana, mwanaume kuchepuka ni jambo la kawaida
 
Mama mbona umekua mkali sana, mwanaume kuchepuka ni jambo la kawaida

Ni kweli ni jambo la kawaida lkn hizo sababu anazotoa ndio zinaudhi..amesema amerubuniwa! Kha!
Na why amuite mkewe mkatili, kwa lipi?
Halafu why atembee na ndugu wa mke wake? Naamini angekuwa ni mwanamke mwingine ambaye si ndugu wa mke wake angeweza kusamehewa.
 
Kasafishe nyota hahahaaaa.
Kuna kaka mmoja aliniambia akimfanyia mkewe kosa akiona atamind anapitia kwa mganga akirudi nyumban hali shwarii.
Tahadhari... chukuaa hatua
 


Follow this advice. Very wise. Thank you for this advice ..Thanks..
 
Hawa Act bora tu wangekubali kujiunga ukawa coz wote ni vyama vya upinzani kwa ccm .Sera za vyama tu ndio vinawatofautisha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…