bobby dolat
Senior Member
- May 18, 2015
- 167
- 263
Wakuu habari ya ujenzi wa taifa,
Kwa kweli hadi leo sijui nini kilinipata hadi nikatembea na shemeji yangu mdogo wa mke wangu wa ukoo.Kama si yule binti kunirubuni nisingefikia hatua ya kufanya kitendo hicho.
Historia ya tatizo:
Mwanzoni mwa mwaka jana wife aliniomba nimuombee kazi au nimpe kazi mdogo wake mtoto wa babake mkubwa ambae amemaliza chuo mwaka juzi. Hapo ninapofanya kazi mimi ni Administrative Officer ni kiwanda cha wahindi, hivyo haikua shida nikapigana kiume akaanza kazi ingawa sio ya mshahara mkubwa maana wahindi mnawajua walivyo. Miezi 4 mbele akaniambia ana zawadi yangu niifute alipopanga maana hawezi kuibeba kuja nayo kazini, ni shukrani kwa kazi niliyompa,ikawa kila nikifika kazini asubuhi huja ofisini kwangu kuniuliza kwa nn Jana yake sikweenda kwake
Siku moja nikamwambia basi leo tuongozane nina nafasi tulipofika pale akanipa shati jipya nikamshukuru akaniuliza haujaribishi nikufanyie na massage ya mgongo?Kwa kweli sijui nilikua nawaza nn nikajibu sawa akaaenda duka La dawa akanunua olive oil akaja nayo chumba ni kimoja tu hivyo akaanza kunifanyia masage huku tunapiga story mbalimbali Ilifika pahala nikawa sina nguvu hata ya kuongea tena hasa alipoanza kifuani kushuka chini, nilihisi ni shoti ya Umeme imenipiga.
Zoezi zima likawa limekamilika na ukawa ni mchezo wetu kila mara, na hatukuwahi kwenda guest tulikua tukifanyia hapo hadi siku moja ambayo tulisikia hodi ikigongwa na binti kwenda kufungua na kukutana uso kwa uso na dada yake yaani mke wangu mimi.Mimi nilikua ndani ya shuka kitandani kama nilivyozaliwa.Mke wangu akaingia akaanza kulia mbele yangu, walikuepo na kaka zake wawili na ndugu wengine watatu wanawake kumbe walitufuatilia kutoka kazini hadi hapo baada kutuchunguza kwa muda mrefu
Matokeo:
Wife alibeba vitu vyake vyote akaondoka na watoto akarudi kwao baadae akaenda kupanga sehemu ambapo anaishi hadi sasa. Nimemuomba msamaha katika ngazi zote za familia na hata ngazi ya kanisa na hadi kwa paroko bado amekataa kunisamehe.Nimetuma marafiki zake na watu Wa heshima na hata bosi wake kazini anisaidie kuzungumza nae ndio kwanza akanitukana kwa nn nimeenda ofisini kwake.Hataki hata niende kuwaona watoto wangu pale anapoishi.
Wakuu nimefanya kosa gani kubwa la kustahili haya yote? Umeshakatika mwaka tangu aondoke home kwa tatizo hili sioni dalili njema siku za usoni na mimi nampenda mke wangu nahitaji turudiane cha kushangaza nyumbani kwao wanaona kama mimi ndio niliemrubuni yule shemeji yangu kwa aijili ya kumpa kazi wakati yeye ndio alinirubuni mimi.
Kwanini anakua na roho mbaya kiasi cha kushindwa kumsamehe mtu? Akina dada ukikosewa kiasi hiki unaweza kutaka kufanyiwa nini ili usamehe? Kwa ujumla napaswa kufanya kitu gani hasa kuweza kumu win tena wife? Maana kuna wanaomshawishi akadai talaka mahakamani sinajua a awaza nn kwa sasa.Nimekuja kwenu kwa Mara ya kwanza as a last resort to this problem.
Wana JF nifanye lipi liliobaki ili mke wangu arudi?
Your regards
Kwa kweli hadi leo sijui nini kilinipata hadi nikatembea na shemeji yangu mdogo wa mke wangu wa ukoo.Kama si yule binti kunirubuni nisingefikia hatua ya kufanya kitendo hicho.
Historia ya tatizo:
Mwanzoni mwa mwaka jana wife aliniomba nimuombee kazi au nimpe kazi mdogo wake mtoto wa babake mkubwa ambae amemaliza chuo mwaka juzi. Hapo ninapofanya kazi mimi ni Administrative Officer ni kiwanda cha wahindi, hivyo haikua shida nikapigana kiume akaanza kazi ingawa sio ya mshahara mkubwa maana wahindi mnawajua walivyo. Miezi 4 mbele akaniambia ana zawadi yangu niifute alipopanga maana hawezi kuibeba kuja nayo kazini, ni shukrani kwa kazi niliyompa,ikawa kila nikifika kazini asubuhi huja ofisini kwangu kuniuliza kwa nn Jana yake sikweenda kwake
Siku moja nikamwambia basi leo tuongozane nina nafasi tulipofika pale akanipa shati jipya nikamshukuru akaniuliza haujaribishi nikufanyie na massage ya mgongo?Kwa kweli sijui nilikua nawaza nn nikajibu sawa akaaenda duka La dawa akanunua olive oil akaja nayo chumba ni kimoja tu hivyo akaanza kunifanyia masage huku tunapiga story mbalimbali Ilifika pahala nikawa sina nguvu hata ya kuongea tena hasa alipoanza kifuani kushuka chini, nilihisi ni shoti ya Umeme imenipiga.
Zoezi zima likawa limekamilika na ukawa ni mchezo wetu kila mara, na hatukuwahi kwenda guest tulikua tukifanyia hapo hadi siku moja ambayo tulisikia hodi ikigongwa na binti kwenda kufungua na kukutana uso kwa uso na dada yake yaani mke wangu mimi.Mimi nilikua ndani ya shuka kitandani kama nilivyozaliwa.Mke wangu akaingia akaanza kulia mbele yangu, walikuepo na kaka zake wawili na ndugu wengine watatu wanawake kumbe walitufuatilia kutoka kazini hadi hapo baada kutuchunguza kwa muda mrefu
Matokeo:
Wife alibeba vitu vyake vyote akaondoka na watoto akarudi kwao baadae akaenda kupanga sehemu ambapo anaishi hadi sasa. Nimemuomba msamaha katika ngazi zote za familia na hata ngazi ya kanisa na hadi kwa paroko bado amekataa kunisamehe.Nimetuma marafiki zake na watu Wa heshima na hata bosi wake kazini anisaidie kuzungumza nae ndio kwanza akanitukana kwa nn nimeenda ofisini kwake.Hataki hata niende kuwaona watoto wangu pale anapoishi.
Wakuu nimefanya kosa gani kubwa la kustahili haya yote? Umeshakatika mwaka tangu aondoke home kwa tatizo hili sioni dalili njema siku za usoni na mimi nampenda mke wangu nahitaji turudiane cha kushangaza nyumbani kwao wanaona kama mimi ndio niliemrubuni yule shemeji yangu kwa aijili ya kumpa kazi wakati yeye ndio alinirubuni mimi.
Kwanini anakua na roho mbaya kiasi cha kushindwa kumsamehe mtu? Akina dada ukikosewa kiasi hiki unaweza kutaka kufanyiwa nini ili usamehe? Kwa ujumla napaswa kufanya kitu gani hasa kuweza kumu win tena wife? Maana kuna wanaomshawishi akadai talaka mahakamani sinajua a awaza nn kwa sasa.Nimekuja kwenu kwa Mara ya kwanza as a last resort to this problem.
Wana JF nifanye lipi liliobaki ili mke wangu arudi?
Your regards