Man Ngosha
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 219
- 69
Habari zenu Wana JF ,
Mimi ni kijana wa kiume, kwa muda sasa nimekuwa nikitafuta rafiki wa kike ambaye hapo baadae atakuwa mwenza wangu!
Ninachoumia ni kwamba sifanikiwi pamoja na kumshirikisha Mungu pia, najiuliza Maswali mengi!
Kama Mungu amenijaalia elimu, kazi na afya njema kwanini katika hili maombi yangu hayatimii? Nisaidieni wadau, wapi nakosea? Nimechoka na upweke, na umri nao unasogea!
Mimi ni kijana wa kiume, kwa muda sasa nimekuwa nikitafuta rafiki wa kike ambaye hapo baadae atakuwa mwenza wangu!
Ninachoumia ni kwamba sifanikiwi pamoja na kumshirikisha Mungu pia, najiuliza Maswali mengi!
Kama Mungu amenijaalia elimu, kazi na afya njema kwanini katika hili maombi yangu hayatimii? Nisaidieni wadau, wapi nakosea? Nimechoka na upweke, na umri nao unasogea!