Kitu kinachonishangaza ni kuwa kuna Watanzania Wenye asili ya Kiasia nilikuwa nao Jeshini Oljoro na Ruvu Sasa hivi ni Madaktari Dar, Moshi na Arusha wengine Maengineer na Wafanyakazi watiifu
Sijui kwanini Serikali ya Awamu ya Nne haiwaangalii hao na ni Vijana hawateui hao hata Uwaziri Mdogo na ni Wazalendo
Serikali ya Tanu na CCM ya Nyerere ilikuwa na kina Alnoor Kassum, Ameir Jamal na Mama Mmoja wa Morogoro alikuwa
Naibu Waziri; Nchi yetu ni Rainbow Nation kama South Africa; kwanini Baraza letu la Mawaziri lisifuate Taifa Letu kuwa
Rainbow ?