Kwanini mh. Lowassa kaachwa mpaka sasa???

Kwanini mh. Lowassa kaachwa mpaka sasa???

Fredrick Mmari

Senior Member
Joined
Jul 8, 2013
Posts
144
Reaction score
37
Kama kweli mh. Lowassa aliiba pesa nyingi akihusishwa na Richmond,mbona hajafunguliwa kesi yoyote na serikali???



Kama kweli serikali ina nia ya dhati katika kuwachukulia watu hatua mbona mh. bado ana peta uraiani???
 
Ndugu yangu Mmari nikuambie kitu kimoja Mh. Lowasa hakuna baya alililolitenda wakati wa Richmond nikurudishe nyuma nchi ilikuwa kwenye janga la kukosa umeme alichokifanya ni kuvunja sheria ya kipuuzi ya manunuzi ambapo ilitaka serikali itangaze tender ndan ya 45 days kama sijakosea na mpk umpate mzabuni ni siku almost 60 ss je nchi ikae gizani kwa siku zote lkn alionekana mmbaya pili rais wa marekani obama alikuja kufungua mitambo ya syimbion ambapo ni ile ile ya richmond ss kosa la Mh.Lowasa ni nn km mitambo ile ile iliyokataliwa na serikali ndiyo hiyo hiyo iliyonunuliwa na symbion ambapo wanatuuzia karibu megawati 70
 
Kama kweli mh. Lowassa aliiba pesa nyingi akihusishwa na Richmond,mbona hajafunguliwa kesi yoyote na serikali???



Kama kweli serikali ina nia ya dhati katika kuwachukulia watu hatua mbona mh. bado ana peta uraiani???
Sio tu kwamba hajafungwa, lakini hata kesi yake haijatajwa mahakamani. Huu ni mchezo ambao CCM wanaujua sana na ndio maana wameogopa kumfungulia mashtaka. Siku wakijaribu tu, wote waliofichika itabidi waumbuke. Ingekuwa ni mwananchi wa kawaida kama mimi, ningekuwa nimeshahukumiwa kitambo sana. Tatizo ni kwamba walikula pamoja na hivyo kumshtaki EL ni sawa na kujishitaki wao wenyewe.
 
Hakuna ushahidi wwte unaonyesha lowasa aliiba fedha za serikali.alichofanya tu ni kuchukua maamuzi magumu ili kututoa kwny janga la umeme,km ni hela lowassa anazo toka enzi ya Nyerere!
 
Ndg simama uhesabiwe na ufalme wa Lowassa wala usione haya,shauri yako sie tayari we komaa na Maembe na richmond!
 
Wadau wa EL. Mi kumunyoshea mtu kidole hainiingii akilini. Kwanza hebu tujiulize. Nani kati yenu atasema yeye yuko mkamilifu hamwibii mwajili wake ama kutumia vibaya rasilimali za kampuni vibaya? Jamaa ninayemfafamu kwa ukaribu hadi leo alikuwa msafi sana, akapewa nafasi kubwa serikalini na kupewa ofa ya furnitures za 15M na malupukupu mengine, alishangaa kuona hayo. Na akasema anashangaa wanaoiba, ya nini kama vya kupewa na vingi hivi. baadae kidogo naye akawa haridhiki tena na huku akitumia viabaya gari na kila loop hall. Yaani sasa ni fisadi na kashusha gorofa la ukweli. Hebu angalia magorofa dar yanagyoota, angalia residentials ukiacha businesses za individuals, mashule, viwanda, mashamba, plots etc. Yote nibya EL? Ninachosema ni wote chumia tumho, hata wewe kwa level yako. So tusitafute huyu msafi na huyu fisadi. Bali tutafute atakayebakisha Balance nene kwa taifa.
Balance= kilishozalisha - kilichoibiwa.
 
Utakiuka taratibu za manunuzi kwani nchi ya baba yako??? JK alimkomesha kwa tabia hiyo, lazima alipiga cha juu.
 
Mh. Lowasa kama ulivyomuita hana hatia yoyote na hakuna chombo chochote ambacho kimethibitisha hivyo. Kama unabisha leta ushahidi...hata ansard za bunge zipo wazi katika hili. Ukigusa Richmond unaigusa IKULU.
 
Kwa Mkuu Jwagu unaharalisha wizi sio??
Hizo ni sera za MaCCM, mbona wenyewe wanaitana Maghamba??
Hatuwezi kuruhusu taifa liwe la wezi, hata Mungu hapendi wezi!!
Ishi kwa jasho lako, wacha wizi ni laana!! Huyo EL wako na wapambe wake mmelaaniwa!!!
 
Back
Top Bottom