Kwanini Mengi alipata utajiri: Nimebaini sababu

Kwanini Mengi alipata utajiri: Nimebaini sababu

Wahindi ni watunzaji wazuri wa siri na ni waaminifu kwa 90% kuliko wabongo. Mhindi kwenye milioni 100 atakuibia milioni 1 ila mbongo ataiba 80m kwenye hiyo hiyo 100m
 
Ni ukweli kabisa aiseee kwa uzoefu wangu wa kazi za kuajiriwa aiseee wabongo daima wanatafuta mwanya wa kupiga hela, halafu mbaya zaidi mbongo hata umlipe mshahara million saba kwa mwezi bado atatafuta mbinu za kukuibia tu maana the more mshahara unakua mkubwa na matumizi yake yanaenda juu so utake usitake utapigwa tu... Ila Muhindi yupo very loyal kama mdau mmoja hapo juu alivyosema sio kwamba hawaibi ila wanaiba mpaka ng'ombe anone vya kutosha atoe maziwa mengi ndio ziada wanaiba ila mbongo atakuibia maziwa yote na ziada ndio atakuachia na biashara inaishia hapo
 
Eneo la Uhasibu Reginald Mengi aliajiri Wahindi ambao wanasifika kusimamia kwa uaminifu mkubwa finances...
Mfano mmoja wapo ni Mhasibu wa IPP FM Srinivas Chitanturi na wengine ambao wapo kwenye chain ya IPP kama wahasibu wakiwemo kule kwenye kampuni ya Maji na viwanda vyake...

Mengi sio tajiri wa kwanza kuwatumia watu wa asili ya Asia/India kusimamia kampuni zao...miongoni mwa matajiri wengine wanaotumia
sana raia hawa wa kigeni ni pamoja na Aliko Dangote ambae amekuwa akiweka Chief Finacial Officers kuwa wageni akiwemo Brian Egan aliehudumu kwa weledi wa hali ya juu na kwa uaminifu na kuiwezesha empire ya Dangote kuendelea kuchanja mbuga kama kinara cha uwekezaji Afrika...

Mwafrika mwingine tajiri ambae amekuwa akitumia wageni eneo la finances ni Mzimbabwe Strive Masiyiwa ambae ni miongoni mwa matajiri wakubwa Afrika ambae hapa Tanzania anamiliki TV1/Kwese,Raha nk na huko kwingineko ana makampuni lukuki unaweza kumtafuta wiki utamuona..... Huyu tajiri pia pamoja kwamba Chief Group Finance Officer wake ni mwanamama mwafrika lakini hajaacha kuwatumia wahindi ambapo msaidizi wa Finances za group ni Muhindi aitwae Minnesh Ajoodha....


Ukija kwa mzee wetu tajiri Bakhresa utagundua kwenye Finances pia kaweka Wahindi pale...Mfano Mkaguzi wa Hesabu wa ndani wakati fulani aliitwa Suraj Khandelwal sina uhakika kama bado yupo... lakini huyu ndo anakagua kuona usalama wa mapesa hapo Bakhresani...Lakini pia hapo hapo Bakhresa Mhindi mwingine kwa jina CA. AMAN VOHRA yeye ameshahudumu kwenye Idara ya Mapesa kama Mdhibiti Mkuu wa Rasilimali za kampuni.

MTAZAMO WANGU: Naamini kabisa kwa utafiti huu mdogo kwamba inaonekana kabisa kwamba Indians/Wahindi ni watu waaminifu na watu mahiri katika kupangilia expenditure na income kwenye kampuni...kwa hiyo niamini kwamba kama una plan ya kuibukia kwenye mega business hawa jamaa naamini ukiwaajiri kwenye eneo la finances unaweza kutoboa...Nina wasiwasi kwamba kwenye eneo la Uhasibu huenda sie ngozi nyeusi tunakosa uaminifu au tunashindwa kusaidia ukuaji wa businesses!

I stand to be corrected.





Muhindi muaminifu kabisa ni Goa ! Na ndo walikuwa wahasibu wa kuaminika tokea enzi za Sultan Sayyid Said.
Sio hawa waKashmir na waBangladesh
 
Naamini asilimia 90 ya Watanzania ni wezi. Mtu akiajiriwa tu, badala ya kutafuta nafasi ya kuboresha kazi anayofanya ili mwajiri afurahi kwa kuona ubunifu wake, yeye anakalia kubuni tu namna ya kuiba. Na kwa bahati mbaya sana, ni wachache sana wanatumia hicho walichoiba kwa maendeleo - wanapeleka kwenye anasa tu.
 
Back
Top Bottom