Mimi sio mnafki tukubali tu wahindi ni kiboko wale watu wapo care na kazi alafu wana elimu kweli kweli sio elimu ya madaftari na vyeti, nishafanya kazi makampuni yao jamaa wapo makini na kazi alafu sio wapigaji kivile yani wana elimu og kabisa
Ili kupambana na hawa watu watz tunahitaji kuacha wizi na tuwe na elimu nzito sio elimu ya vyeti, pia tuwe wabunifu wahindi ni wabunifu sana yani tuseme tu ukweli, angalia pale ubungo mainjinia ya tz miaka yote wameshindwa kubuni ile round about kaja mchina tu kaiweka faster na foleni imepungua, hapo ndipo utajua elimu yetu ina shida na ndio maana wahindi wanachukua ajira zetu