Kwanini Mengi alipata utajiri: Nimebaini sababu

Kwanini Mengi alipata utajiri: Nimebaini sababu

Kwa hiyo tuwaajiri wahindi sana kwenye business zetu, sio watz wenzetu eeenh??
Hili linaweza kuwa hitimisho kwa upande wako, binafsi sijatoa pendekezo lolote kwenye ajira katika eneo nililogusia...ila naamini Wahindi wanalimudu sana eneo hilo.
 
kuna sababu nyingine ukiondoa hiyo ya uaminufu.

ni kwamba wahindi wenye elimu ya juu katika fani mbalimbali ni wengi sana huko kwao, hali hii imechangia kuwa na ushindinani mkubwa wa kupata ajira miongoni mwao. baadhi yao hukimbilia afrika kuja kutafuta ajira. hapa ndio matajiri wetu wanapopata nafasi ya kuwaajiri kwa mishahara nafuu

bakhresa na mo dewji wameajiri wahindi wengi sana.

inshort wahindi ni cheap labourers.
Ni nadharia au tunawezaje kuprove hili kwamba wanalipwa chee!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wahindi wanampa Tabu Dangote Hatariii
Kwa mtu anaemiliki biashara kubwa kama Dangote angeona hawamfai bila shaka angekuwa ashaachana nao...hata Mkuu wa Uhasibu ambae ndie top boss wa Fedha za Dangote ni Mhindi.
 
Hilo laweza kuwa kweli lakini inategemea na malipo unalipwaje, kinachopelekea mtu kuamua kukuibia ni kile unachomlipa, kwenye kampuni nyingi za wahind wanawalipa wahind wenzao mishahara minono wkt waswahil mkipokea mishahara mbuzi.

Unakuta mdosi kaja kuanza kazi anaanza na 2.5M wkt mswahil mwenzangu una miaka zaid ya 2 kazin ndo kwnza umefika kwnye milioni
 
Kwa mtu anaemiliki biashara kubwa kama Dangote angeona hawamfai bila shaka angekuwa ashaachana nao...hata Mkuu wa Uhasibu ambae ndie top boss wa Fedha za Dangote ni Mhindi.
Usemalo ni Kweli ila wanawapa tabu wafrika wenzetu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
UDART ishatushinda,inabidi tuwape wahindi.Wabongo upande wa kuremba CV tupo vizuri,micertificate kibao,sasa mpe kazi uone mavyongo yake,wazushi,wezi plus undugulization.
 
Eneo la Uhasibu Reginald Mengi aliajiri Wahindi ambao wanasifika kusimamia kwa uaminifu mkubwa finances...
Mfano mmoja wapo ni Mhasibu wa IPP FM Srinivas Chitanturi na wengine ambao wapo kwenye chain ya IPP kama wahasibu wakiwemo kule kwenye kampuni ya Maji na viwanda vyake...

Mengi sio tajiri wa kwanza kuwatumia watu wa asili ya Asia/India kusimamia kampuni zao...miongoni mwa matajiri wengine wanaotumia
sana raia hawa wa kigeni ni pamoja na Aliko Dangote ambae amekuwa akiweka Chief Finacial Officers kuwa wageni akiwemo Brian Egan aliehudumu kwa weledi wa hali ya juu na kwa uaminifu na kuiwezesha empire ya Dangote kuendelea kuchanja mbuga kama kinara cha uwekezaji Afrika...

Mwafrika mwingine tajiri ambae amekuwa akitumia wageni eneo la finances ni Mzimbabwe Strive Masiyiwa ambae ni miongoni mwa matajiri wakubwa Afrika ambae hapa Tanzania anamiliki TV1/Kwese,Raha nk na huko kwingineko ana makampuni lukuki unaweza kumtafuta wiki utamuona..... Huyu tajiri pia pamoja kwamba Chief Group Finance Officer wake ni mwanamama mwafrika lakini hajaacha kuwatumia wahindi ambapo msaidizi wa Finances za group ni Muhindi aitwae Minnesh Ajoodha....


Ukija kwa mzee wetu tajiri Bakhresa utagundua kwenye Finances pia kaweka Wahindi pale...Mfano Mkaguzi wa Hesabu wa ndani wakati fulani aliitwa Suraj Khandelwal sina uhakika kama bado yupo... lakini huyu ndo anakagua kuona usalama wa mapesa hapo Bakhresani...Lakini pia hapo hapo Bakhresa Mhindi mwingine kwa jina CA. AMAN VOHRA yeye ameshahudumu kwenye Idara ya Mapesa kama Mdhibiti Mkuu wa Rasilimali za kampuni.

MTAZAMO WANGU: Naamini kabisa kwa utafiti huu mdogo kwamba inaonekana kabisa kwamba Indians/Wahindi ni watu waaminifu na watu mahiri katika kupangilia expenditure na income kwenye kampuni...kwa hiyo niamini kwamba kama una plan ya kuibukia kwenye mega business hawa jamaa naamini ukiwaajiri kwenye eneo la finances unaweza kutoboa...Nina wasiwasi kwamba kwenye eneo la Uhasibu huenda sie ngozi nyeusi tunakosa uaminifu au tunashindwa kusaidia ukuaji wa businesses!

I stand to be corrected.





Kampuni zangu zote nawatumia wahindi kwenye eneo hilo
 
Tukubali tu sisi waswahili hatuna nidhamu na pesa. Akitokea mswahili mwenye nidhamu kama CAG tunamwona mnooooko! Wahindi hata bank wanaheshimika sana! Ni watu wanaokopesheka kirahisi Sababu kurudisha bila kukwepa. Sisi waswahili ukipata mkopo wa milioni mia 5 du kwanza unaenda nunua Prado, pili unaongeza mke/nyumba ndogo/hawaraz wa kutoshea. Yaani hatuna malengo sawia na mkopo tunaochukua.
 
Ni nadharia au tunawezaje kuprove hili kwamba wanalipwa chee!
sijasema wanalipwa cheee, nimesema huwa wakija huku kwetu huwa wanalipwa mishahara "nafuu".

kwa tanzania kwa mfano, kuna gape kubwa sana la kimishahara kati ya ma-expatriate wazungu wa ma-expatriate wahindi.

na hii sio tz tu, hata nchi za mashariki ya katiki mfano UAE, hali ni hiyohiyo, waarabu huwachukulia wahindi kama cheap labourers.
 
Ukiweka jitu jeusi hapo kwanza litakwapua mapato ili likanunue gari [fancy car] au likahonge vibinti vya chekechea na kununua mishkaki.

Ukijumlisha na incompetence yake unapata magunia ya liabilities!
hahaha bila kusahau zingine kununulia maandazi
 
Utajiri Wa MTU in siri ya MTU,staff management haina chochote kwenye asili ya utajiri Wa MTU.
Labda ungeweka kichwa cha Uzi wako kuwa staff management hasa ya waeshia imechangia pakubwa kuendeleza utajiri Wa bwana mengi
 
Back
Top Bottom