MWITONGO MAARIFA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 276
- 1,428
Habari kutoka ndani ya chama Cha mapinduzi zinaeleza kuwa wameshindwa kudeal na wakongwe hawa wa siasa za kusini kutokana na namna wanakusini walivyowaweka moyoni na kwa kuzingatia pia namna wanakusini wanavyoteswa na serikali hawamu mbalimbali za CCM.
Ukimkata Nape unatonesha kifonda cha gesi na korosho, Bora nape awasaidie kusini kuliko kumkata alafu mkategemea sanduku la kura chini ya ulinzi wa Tume na polisi.
Wale waliodhani yupo wa kumkata Nape 2020 na kwamba atajiunga upinzani andikeni maumivu, chama kimepanga kwenda na nape 2020 kupunguza nguvu ya Membe kwenye harakati za Urais.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimkata Nape unatonesha kifonda cha gesi na korosho, Bora nape awasaidie kusini kuliko kumkata alafu mkategemea sanduku la kura chini ya ulinzi wa Tume na polisi.
Wale waliodhani yupo wa kumkata Nape 2020 na kwamba atajiunga upinzani andikeni maumivu, chama kimepanga kwenda na nape 2020 kupunguza nguvu ya Membe kwenye harakati za Urais.
Sent using Jamii Forums mobile app