Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 57,243
- 90,303
Tanzania hujinasibu kama taifa linalohusudu zaidi mpira na la viwango vya juu vya mpira Africa Mashariki, ajabu ni kwamba mahudhurio katika viwanjani katika CHAN ni haba sana na tunazidiwa hadi na taifa la wanariadha la Kenya!
Nimeshangaa hata mechi za timu ya Ibrah Traore (Burkinafaso) zilikuwa zimelala doro sana hakuna watazamaji kabisa pamoja pamoja na ufuasi mkubwa na hamasa aliyonao Ibrah Traore hapa bongo!
Nimeshangaa hata mechi za timu ya Ibrah Traore (Burkinafaso) zilikuwa zimelala doro sana hakuna watazamaji kabisa pamoja pamoja na ufuasi mkubwa na hamasa aliyonao Ibrah Traore hapa bongo!