stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,834
- 22,944
Shida kubwa naona hapo ni kutokuamini kama na yeye ameweza kumiliki mwanamke mzuri...Ushamba ni mzigo , ni kama yule boya Masanja
Shida kubwa naona hapo ni kutokuamini kama na yeye ameweza kumiliki mwanamke mzuri...Ushamba ni mzigo , ni kama yule boya Masanja
Ni ushamba...... ila na wewe msifie wako
Shida kubwa naona hapo ni kutokuamini kama nayeye ameweza kumiliki mwanamke mzuri...
Huyu ana afadhari kuna yule wakitwa Nikki wa pili
Ila Nikki wa pili kiboko angekuwa around na Mimi ningemkazia ili akili imkae sawaUsimsahau yule wa kuitwa masanja
hapo hakuna cha kumsifia ni kwamba mitandao ya kijamii inaharibu sana watu, hapo anataka ku trend tu mitandaoni na masifa ya kipuuzi na ushamba wake tu. vijana wa skuiz wanaongozwa na mitandao tu. ila nilisikia kwa watu flani kuwa watu wafupi ndivyo walivyoKuna Siku atakuja Kulia mno pale Wahuni watakapopita nae Mkewe. Na labda nimtahadharishe tu MC Mpilipili kwamba kama Yeye aliweza Kumtongoza na Kumuhadaa huyo Mkewe Philomena basi wapo Watoto wa Mjini vile vile ambao nao wanaweza Kuingiza Voko zao kwa Mkewe na wakamkanyagia tena hata kuliko anavyomkanyaga Yeye na huyo Mkewe akaanza Kumdharau.
Kuna Mwanasaikolojia Mmoja aliwahi Kuniambia kuwa ukiona Mwanaume anapenda mno ama Kumsifia au Kumuonyesha onyesha Mkewe jua anajihami na kuna Udhaifu mkubwa ambao anao hivyo anajaribu Kuuficha kwa Kuonyesha anapenda Kuliko Mkewe.
Pia Mwanasaikolojia huyo huyo alienda mbele zaidi na kuniambia kwamba ukiona Mwanaume anapenda sana Kumsifia au Kumuonyesha onyesha Mkewe jua ama ana Ushamba fulani au Makuzi yake yalikuwa ni Kukua akiwa chini ya Himaya ya Wadada ( Wanawake )
Mwanaume Rijali huwa hana Upuuzi wa aina hii kwani Mkeo ni Mali yako na siyo Mali ya Watanzania unaowatambia.
Tuacheni Utindiga ( Ushamba )
Kwa jinsi ninavyowajua Watanzania walivyokuwa Wahuni Asilia pamoja na kwamba Demu wangu ni mbaya Kuliko ila nikimuanika tu Mitandaoni watapita nae hivyo hivyo. Wahuni si Watu Kiongozi.
Laiti waoaji wote wangekua kama mc pilipili...tusio na ndoa tungepata tabu sana..
Mwambieni huyu kijana afiche ulimbukeni wake,hajazaliwa na hiyo Dada wala haijaandikwa watapaa wore kuelekea mbinguni.kuna kuachana
Na pia aombe sana asiporomoke kimaisha maana mjini anaishi kwa ujanjaujanja tu na kampata akiwa kafanikiwa.
Kama kuna Comment ambayo ni muhimu na nzito ambayo MC Pilipili anatakiwa afowadiwe upesi na sasa hivi ili aione basi ni hii yako Kiongozi kwani hapa umemaliza kila Kitu na umepiga mule mule.
NI WIVU TU, NI WIVU TU.
Kwanini usimuulize yeye mwenyewe brow.
Nadhani atakuwa na majibu mazuri zaidi kuliko wanajanvi hapa JF.
Kuna mwingine anaitwa Mwijaku, nae ni misifa tu kwa mkewe