ifweero
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 7,957
- 1,341
Proof read your ilogical comment b4 postingKwa nini ccm miaka 50?
Proof read your ilogical comment b4 postingKwa nini ccm miaka 50?
Chadema imeshaanza kupukutisha CCM na vibaraka wake. Uchaguzi wa baraza la wazee umewaacha Ritz, Mingoi, Ruttashobolwa na mjepo wanakata mauno tu hapa jf
Chadema imekaa kisultani.,Hakuna demokrasia kabisa.
Nicholas hata ujipendekeze vipi chadema hawana mpango na wewe waulize yericko na ben saanane walichofanywa na Mbowe na Slaa.
Kwani wamekosa nini. Mbona vyama vingine hamuvisemi na viongozi wake.
Utaishia kubeba mikoba ya mbowe halafu unatupwa kule.
Mbowe ameifanya chadema kampuni ya urithi
Mbowe ameifanya chadema kampuni ya urithi
Na labda uongeze pia amekuwa homa isiyopona kwa mafisadi na wanaopenda kukandamiza wananchi!!!
Nicholas hata ujipendekeze vipi chadema hawana mpango na wewe waulize yericko na ben saanane walichofanywa na Mbowe na Slaa.
Chadema hakuna kujipendekeza..kijana anatimiza wajibu wake..vjana wa ccm ndio wanapata mafanikio kwa kujipendekeza