Kwanini matapeli wengi wanatumia line za TTCL?

libeva

JF-Expert Member
Mar 25, 2015
4,367
3,382
Wale matapeli wengi siku za hivi karibuni wanatumia sana line za TTCL kuhadaa wananchi kama kujiunga na Freemason au ile fedha tuma kwenye namba hii.

Kama ujumbe hapa chini unavyo jieleza.

666)POLE NA KAZI JIUNGE NA MTANDAO MKUBWA WA FREE~MASON UMILIKI UTAJILI WA PESA NYUMBA MAGALI BIASHARA KUJIUNGA NASI NO 0733252435
 
Screenshot_20220305-175356.png
Screenshot_20220305-175336.png
Screenshot_20220305-175150.png
 
Wale matapeli wengi siku za hivi karibuni wanatumia sana line za TTCL kuhadaa wananchi kama kujiunga na Freemason au ile fedha tuma kwenye namba hii.
Kama ujumbe hapa chini unavyo jieleza.

666)POLE NA KAZI JIUNGE NA MTANDAO MKUBWA WA FREE~MASON UMILIKI UTAJILI WA PESA NYUMBA MAGALI BIASHALA KUJIUNGA NASI NO 0733252435

Pole na changamoto mkuu, tafadhali tuma screenshot ya huo ujumbe kwa msaada zaidi.
Asante



#RudiNyumbaniKumenoga
 
Back
Top Bottom