Maskini hata ikitokea akasaidiwa hudhani ni kwasababu msaidiaji anavyo vya ziada. Na wengi hawana malengo ya kutajirika na hivyo hubakia kuwaonea wivu waliofnikiwa au kuwasema vibaya pale wanaposhindwa kusaidiwa.uchunguzi wake sikubaliani nao.....mi nilichunguza nikagundua maskini ndo tuna roho mbaya na ni wabinafsi....wivu....chuki zimetujaaa.....
Tena bila sababu
Wengi ukali ndo wanauita roho mbaya. Au ikitokea akakuomba usiweze kutimiza matakwa yake ndo wengi wanaita roho mbaya.Kwasababu siri ya utajiri wao wanaijua wao.
Amin nakuambia Tajiri wa haki hawezi kua na roho mbaya isipokua anakua Mkali ,nahii nisababu Ukali husaidia kuendeleza mali.
Nb..ukali sio roho mbaya.
Ndio maana wakawa matajiriHello guys
Nimepata chance ya kukaa na watu wa class tofauti tofauti, nime-observe kuwa watu wengi ambao ni matajiri ni wabinafsi pengine kuliko hata watu ambao ni maskini
Matajiri wengi wanapenda kujionesha mbele ya umma kuwa wao ni wema (kwa kutoa fedha) lakini moyoni sio watu kabisa, matajiri wengi husaidia huku rohoni wakiwa na ulterior motive eg; kuiba nyota za watu, kukwepa kodi, kujenga image etc. Baadhi yao kukutoa uhai ili kulinda reputation yao ni kitu rahisi mno.
Wengi wao wanaishi kwa hofu, na mashaka, kuugua presha ni kama maji kwao, matajiri wengi pia ni wateja wakubwa wa waganga na hutoa kafara za kutisha ili kulinda/ku-maintain biashara zao zisilogwe, coz sio matajiri wote wametajirika kwa kupitia njia ya uchawi
NB: kuna few exceptions, Sio matajiri wote wana roho mbaya kama nlivolezea hapo juu
Nahapa ndo wanakoseaWengi ukali ndo wanauita roho mbaya. Au ikitokea akakuomba usiweze kutimiza matakwa yake ndo wengi wanaita roho mbaya.
ukishakua maskini mara nyingi hukosa akili (sina maana mbaya)Hello guys
Nimepata chance ya kukaa na watu wa class tofauti tofauti, nime-observe kuwa watu wengi ambao ni matajiri ni wabinafsi pengine kuliko hata watu ambao ni maskini
Matajiri wengi wanapenda kujionesha mbele ya umma kuwa wao ni wema (kwa kutoa fedha) lakini moyoni sio watu kabisa, matajiri wengi husaidia huku rohoni wakiwa na ulterior motive eg; kuiba nyota za watu, kukwepa kodi, kujenga image etc. Baadhi yao kukutoa uhai ili kulinda reputation yao ni kitu rahisi mno.
Wengi wao wanaishi kwa hofu, na mashaka, kuugua presha ni kama maji kwao, matajiri wengi pia ni wateja wakubwa wa waganga na hutoa kafara za kutisha ili kulinda/ku-maintain biashara zao zisilogwe, coz sio matajiri wote wametajirika kwa kupitia njia ya uchawi
NB: kuna few exceptions, Sio matajiri wote wana roho mbaya kama nlivolezea hapo juu