Hello guys
Nimepata chance ya kukaa na watu wa class tofauti tofauti, nime-observe kuwa watu wengi ambao ni matajiri ni wabinafsi pengine kuliko hata watu ambao ni maskini
Matajiri wengi wanapenda kujionesha mbele ya umma kuwa wao ni wema (kwa kutoa fedha) lakini moyoni sio watu kabisa, matajiri wengi husaidia huku rohoni wakiwa na ulterior motive eg; kuiba nyota za watu, kukwepa kodi, kujenga image etc. Baadhi yao kukutoa uhai ili kulinda reputation yao ni kitu rahisi mno.
Wengi wao wanaishi kwa hofu, na mashaka, kuugua presha ni kama maji kwao, matajiri wengi pia ni wateja wakubwa wa waganga na hutoa kafara za kutisha ili kulinda/ku-maintain biashara zao zisilogwe, coz sio matajiri wote wametajirika kwa kupitia njia ya uchawi
NB: kuna few exceptions, Sio matajiri wote wana roho mbaya kama nlivolezea hapo juu