Justine Marack
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 567
- 1,549
Kuna chimbo nilikutana na Mmasai mmoja, katika stori akawa ananipa Connection za Waganga na Wachawi Tanzania nzima. Jamaa Wanaroga ni balaa. Ila wanarogana wao kwa wao.
Ila Wakinga wazidi jamani likabila LA watu washirikiana sana wanalogana ndugu kwa ndugu kabisa
Kaa na masai piga nao story wakufungukie utagundua kuwa hawana tofauti yoyote na waafrika wengine uchawi kama kawaida na wana roho za kimafia
ha ha noma sana... Nna mwanangu mmoja mmasai anasema anawindana na mjomba wake wa damu kilichobaki ni kutumia mapanga tu maana wameshashindwana kwa njia za kimila kila mmoja kaivaRoho km ya mtoa mada!
ha ha noma sana... Nna mwanangu mmoja mmasai anasema anawindana na mjomba wake wa damu kilichobaki ni kutumia mapanga tu maana wameshashindwana kwa njia za kimila kila mmoja kaiva
Jamaa kila baada ya miezi mitatu anannua ng'ombe na mjinj anauza ugoro tu shanga na dawa zao zile ni bahili kinomaHaahaaa