Hauwajui wamasai mzee, wana roho mbaya sana kwa watu ambao sio wamasai. Naishi kwenye Wilaya yao mimi.Ni weusi ngozi tu lakini moyo ni mweupe kama wazungu
Wao wanalogana kwenye mifugo tu kimaendeleoKuna kitu kinanishangaza kuhusu wamasai.Ni kawaida kwa makabila mengine kulogana ,kutuhumiana uchawi ,kuibiana na kutapeliana.
Masai hivyo vitu havipo kwenye kabila yao najiuliza Ni kwa Nini?
Mwenye jibu atusaodie
Wanatuita OrumekiiHauwajui wamasai mzee,wana roho mbaya sana kwa watu ambao sio wamasai. Naishi kwenye wilaya yao mimi.
Kabisa mkuu,huyu mtoa mada hawajui hawa watu kabisa.,akiwaona wanasuka nywele hapo Dar anajua ni jamaa wa ukweli kumbe sio binadamu kabisa. Anakuja shambani kwako analisha ng'ombe ukiongea wanakuja kibao na mafimbo na sime,shughuli yake hapo ni mpaka polisi waende.Wanatuita Orumekii
Hauwajui wamasai mzee, wana roho mbaya sana kwa watu ambao sio wamasai. Naishi kwenye Wilaya yao mimi.