With the agreement that should be done with huge secret and should be stopped upon his release from prison. She failed to stick with the agreement.Lakini Winnie si inadaiwa alianza kuvua picchu kwa vijana tangu Mumewe yuko lupango au?
KumbePamoja na kukaa jela miaka 27 mzee aliharibiwa na wazungu samahani lakini jogoo hakuweza kupanda mtungi tena. Walimtesa wakitaka kujua nani anafadhili ANC
Kuoa mwanamke mzuri kuna gharama yake.
With the agreement that should be done with huge secret and should be stopped upon his release from prison. She failed to obey the rules.
Makaburu hawakutaka kuipoteza South Africa Mandela paid a high price for that freedomKumbe
Daaah!!Makaburu hawakutaka kuipoteza South Africa Mandela paid a high price for that freedom
You are absolutely rightYote tisa ila winnie alikuwa chombo haswaaaaa nasema tena alikuwa chombo haswaaa.
Maana halisi ya urembo mtazame winnie mandela hadi anazeeka
Watu wanaweza sema umalaya. Lakin i reality ni ngumu sana. Mume kufungwa miaka 27 na mwili wa mwanamke unahitaji tendo tamu baada ya muda fulani.. hakuna jinsi, ndio hapa winnie ilibid akitembeze.Inahitaji moyo sana kuwa na mume ambaye yuko jela hujui atatoka lini halafu mke mwenyewe mrembo kama alivyokuwa Winnie enzi za ujana wake.
Mapenzi kikohoziWatu wanaweza sema umalaya. Lakin i reality ni ngumu sana. Mume kufungwa miaka 27 na mwili wa mwanamke unahitaji tendo tamu baada ya muda fulani.. hakuna jinsi, ndio hapa winnie ilibid akitembeze.
Kosa alilofanya ni kumfanya mzee ajue kuwa alitafunwa. Kwa msimamo wa mzee mandela, ndio maana hakumsamehe winnie
Watu wanaweza sema umalaya. Lakin i reality ni ngumu sana. Mume kufungwa miaka 27 na mwili wa mwanamke unahitaji tendo tamu baada ya muda fulani.. hakuna jinsi, ndio hapa winnie ilibid akitembeze.
Kosa alilofanya ni kumfanya mzee ajue kuwa alitafunwa. Kwa msimamo wa mzee mandela, ndio maana hakumsamehe winnie
Angeweka kijana rijali ndani kama houseboy akitoka nje yuko mwenyewe. Hata Mzee angeridhia kama kungekuwa na usiri mradi jamaa alipwe mpunga wakeWinnie naye alikuwa mzuri sana halafu very popular ndani na nje ya South Africa hivyo kukitembeza bila kujulikana ingekuwa ngumu sana. Angekuwa ni mtu wa kawaida tu basi angeweza kupuyanga kwa raha zake bila shida yoyote ile.
Hapo mwishoni kuna nukuu ya mzee Mandela "sikutarajia Winnie angekuwa mseja kipindi chote yupo gerezani bali angekuwa msiri"Najaribu kuwaza Winnie angefungwa 27 Mandela angekitembeza kiasi gani huku njee
Am sure angeoa mpya na kuzaa kabisaa
Mandela kaoa mara tatu uvumilivu mdogo meanwhile Winnie angemsameheHili nalo ni neno LadyRed
27 years with no man,i can never judge Winnie...never......havent felt her shoesHapo mwishoni kuna nukuu ya mzee Mandela "sikutarajia Winnie angekuwa mseja kipindi chote yupo gerezani bali angekuwa msiri"
Umeelewa nini hapo ?