Kwanini mama wake huangalia kucha?

Hujawahi sikia msemo huu " huyu jamaa aliangukiwa na kitovu", wanawake mna mambo sana. Kwa hiyo Wamama huwa wanawahi kitovu kisiangukie kunako ..... Hizo ndio za wanawake, hata wewe walikuangalia kucha !!!!!

mh mkuu naskiaga hafu kikimdondokea mtoto wa kiume anakuwa si riziki mtaani kuna watu wa aina hyo aise inatisha na inaogopesha
 

Hata wewe siku mtoto wako akikuletea mjuu utamwangalia vizuri, na sehemu za kumwangalia ni hizo unazoambiwa. Moja ya kazi ya DNA test ni kuondoa utata wa mambo kama haya.

Mjukuu wako kazaliwa na vimacho kama vya akina Hwang ho,hutadadisi? kama kwenye ukoo wenu hamna aina hiyo ya macho? Mjukuu kaja na pua kama ya Churchil,hutatafuta kaitoa wapi?

Sitetei hivyo vituko vya Wamama, ndio maana nimekupa na vingine zaidi, sisi bado ni Waswahili, kuachana na Uswahili itachukua muda sana.
 
Alaaa kumbeee! nashukuru Mkuu kwa taarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…