Hata wewe siku mtoto wako akikuletea mjuu utamwangalia vizuri, na sehemu za kumwangalia ni hizo unazoambiwa. Moja ya kazi ya DNA test ni kuondoa utata wa mambo kama haya.
Mjukuu wako kazaliwa na vimacho kama vya akina Hwang ho,hutadadisi? kama kwenye ukoo wenu hamna aina hiyo ya macho? Mjukuu kaja na pua kama ya Churchil,hutatafuta kaitoa wapi?
Sitetei hivyo vituko vya Wamama, ndio maana nimekupa na vingine zaidi, sisi bado ni Waswahili, kuachana na Uswahili itachukua muda sana.