Huna lolote! Ungekuwa RC kama unavyojisingizia, ungejua ngazi mbalimbali za misaada kuanzia unapoishi hadi kwenye ngazi ya taifa.
Wewe siyo RC wala siyo mkristo na bahati mbaya sana huna hata akili ya kufanya utafiti kidogo ukajua kanisa linavyofanya kazi ndipo utunge hiki ulichotunga.
imeandikwa. . 'nawe utoapo sadaka mkono wako wa kushoto usijue litendalo mkono wako wa kuume'
Wewe ni muumini uchwara. I'm sorry to say that. Tunafundishwa mkono wa kushoto ukitoa, hata wa kulia usijue umetoa nini.
And just for the sake of knowlegde. Something to ponder: If you don't see it, it doesn't mean its not happening!
Kabla sijahitimisha kwa kusema sitegemei ushahidi wa kuona toka kwa kipofu, naomba nikuulize swali:Mimi nipo huku vijijini. Sijaona.
Ekuzakutire!Nafıkırı huu msemo unatakıwa kutumıka kama anayetoa msaada nı mtu mmoja (kama wewe bınafsılakını kama nı Taasısı kama Kanısa nı vızurı watu wengı wajue. Itasaıdıa hata watu wanaotoa sadaka waone kwamba sadaka zao zınatumıka kuwahudumıa pıa watu wengıne wenye mahıtajı mbalımbalı.
Kabla sijahitimisha kwa kusema sitegemei ushahidi wa kuona toka kwa kipofu, naomba nikuulize swali:
Wewe umeona nini huko ulipo?
Tangu janga la mafuriko kwa wakazi wa mabondeni litokee watu mbalimbali, taasisi za serikali na kampuni binafsi zimekuwa zikitoa misaada mbalimbali kwa waathirika hao. Katika kutazama kwangu uko sijaona/sijabahatika kuona makanisa yakitoa msaada. Nataka kufahamu kwanini makanisa ni magumu katika kutoa misaada.
From 'wahanga's point of view, nadhani ni heri hao wanaotoa msaada na kutangaza, kuliko wanaokaa kimya na msaada hawatoi.Au subiri wale madhehebu mengine ya wokovu ndo wanapenda umaarufu kama huo
Nakuunga mkono 100% kwa observation yako. Mimi ni muumini wa RC, lakini sijawahi kuona hata siku moja kanisa langu likitoa msaada kwa jamii inayotuzunguka pamoja na waumini kutoa sadaka tatu hadi nne kwa siku. Hata tunapokuwa na michango, sijawahi kusikia mchango huu ni kwaajili ya kusaidia watoto yatima/wasiojiweza n.k zaidi ni kujenga nyumba za masista, maaskofu, n.k. Sijauona ushiriki wa makanisa kwenye majanga. Labda nyie wana jf..
Nakuunga mkono 100% kwa observation yako. Mimi ni muumini wa RC, lakini sijawahi kuona hata siku moja kanisa langu likitoa msaada kwa jamii inayotuzunguka pamoja na waumini kutoa sadaka tatu hadi nne kwa siku. Hata tunapokuwa na michango, sijawahi kusikia mchango huu ni kwaajili ya kusaidia watoto yatima/wasiojiweza n.k zaidi ni kujenga nyumba za masista, maaskofu, n.k. Sijauona ushiriki wa makanisa kwenye majanga. Labda nyie wana jf..
Nakuunga mkono 100% kwa observation yako. Mimi ni muumini wa RC, lakini sijawahi kuona hata siku moja kanisa langu likitoa msaada kwa jamii inayotuzunguka pamoja na waumini kutoa sadaka tatu hadi nne kwa siku. Hata tunapokuwa na michango, sijawahi kusikia mchango huu ni kwaajili ya kusaidia watoto yatima/wasiojiweza n.k zaidi ni kujenga nyumba za masista, maaskofu, n.k. Sijauona ushiriki wa makanisa kwenye majanga. Labda nyie wana jf..
Tangu janga la mafuriko kwa wakazi wa mabondeni litokee watu mbalimbali, taasisi za serikali na kampuni binafsi zimekuwa zikitoa misaada mbalimbali kwa waathirika hao. Katika kutazama kwangu uko sijaona/sijabahatika kuona makanisa yakitoa msaada. Nataka kufahamu kwanini makanisa ni magumu katika kutoa misaada.
Tangu janga la mafuriko kwa wakazi wa mabondeni litokee watu mbalimbali, taasisi za serikali na kampuni binafsi zimekuwa zikitoa misaada mbalimbali kwa waathirika hao. Katika kutazama kwangu uko sijaona/sijabahatika kuona makanisa yakitoa msaada. Nataka kufahamu kwanini makanisa ni magumu katika kutoa misaada.
acha kuandika usichokijua.mimi ni muumini wa rc na parokia ninayosali ya chuo kikuu inatoa msaada mara nyingi majanga yakitokea kama mabomu yalivyolipuka gongolamboto,mbagala nk.mara zingine tunachangia pia kwaajili ya misaada kwa wafungwa na yatima!na kuanzia mafuriko yatokee wanakusanya michango kwaajili ya waathirika then wanaipeleka jimboni ipelekwe kwa wahusika.wewe unayedai kanisa katoliki halitoi misaada una yako!sio lazima uone kwenye media ndo ujue
Wewe unaamini kwamba mkono wa kulia unaweza kutoa halafu wa kushoto usijue? Mi sisemi waite media wala nini, kwanza huku nilipo hakuna media. Ishu ni kwamba hawatoi misaada! Wangekuwa wanatoa hata kimyakimya jamii ingejua.
Mtu asiyeenda kanisani au ambaye misa ikiisha tu anawahi pombe zake hawezi kujua activities kama hizo. Kwanza nina shaka kama huyu ni Mkatoliki kweli. Manake kanisa huwa lina utaratibu wa kuwatumia watoto kupeleka misaada kwa watoto yatima ili kuwajenga watoto kuwatambua wenzao wenye shida. Labda angetueleza anasali wapi
Nakuunga mkono 100% kwa observation yako. Mimi ni muumini wa RC, lakini sijawahi kuona hata siku moja kanisa langu likitoa msaada kwa jamii inayotuzunguka pamoja na waumini kutoa sadaka tatu hadi nne kwa siku. Hata tunapokuwa na michango, sijawahi kusikia mchango huu ni kwaajili ya kusaidia watoto yatima/wasiojiweza n.k zaidi ni kujenga nyumba za masista, maaskofu, n.k. Sijauona ushiriki wa makanisa kwenye majanga. Labda nyie wana jf..