kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
acha kuandika usichokijua.mimi ni muumini wa rc na parokia ninayosali ya chuo kikuu inatoa msaada mara nyingi majanga yakitokea kama mabomu yalivyolipuka gongolamboto,mbagala nk.mara zingine tunachangia pia kwaajili ya misaada kwa wafungwa na yatima!na kuanzia mafuriko yatokee wanakusanya michango kwaajili ya waathirika then wanaipeleka jimboni ipelekwe kwa wahusika.wewe unayedai kanisa katoliki halitoi misaada una yako!sio lazima uone kwenye media ndo ujue
Huyo muanzisha mada atakuwa ni Kalapina huyo,maana ndio anaeongoza kwa huo upupu kwa sasa.