Kwanini makampuni ya simu yanatulazimisha kutumia laini za simu zilizokatwa?

Kutokana na simu kuwa ndogo na space ya more electronic equipment's kua issue so wakaamua wapunguze ukubwa iweze kufit.
Kweli tablet ni kubwa ila huwa inatumika kama supplement device na ilionekana kuna posiblity ya mtu kutumia line monja accross devices ndo maana wakaona hiyo micro SIM iwe kama standard.
Hata kwenye magari siku hizi baadhi hayaji na spare tires/hayana nafasi ya spare tires ila yanakua na tire repair kit tu, wanadai spare tires inaongeza uzito.
In future nadhani hayo mambo ya SIM card yatapotea kabisa.
Acha kutudanganya hivi iphone 3, 4 ,5 na hz wanazotoa sasa hv zipi kubwa??
Samsung s2, 3,4 ,5,6 na hz za sasa hv kama 9,10, 21 zipi ni kubwa?
Tecno za awali na hizi za sasa hv zipi kubwa?
Zaman ndio walitengeneza simu ndogo sana but technology advancement na marketing issues ndio znawafanya waendane na wakat waliona apple ameanza wote wameiga.
Sasa hv apple ameanza kutoa simu pasipo kuleta charger yake kisa space inakuwa kubwa kwenye box ku..m...anina zao yan unanunua simu 2.5M alaf charger unaenda tena kununua.
 
Acha kutudanganya hivi iphone 3, 4 ,5 na hz wanazotoa sasa hv zipi kubwa??

Why have SIM cards shrunk?​

SIM cards have shrunk primarily because the bits that were removed were essentially wasted space and space comes at a premium in a smartphone. By having a smaller SIM card slot, more space can be freed up for a larger battery or other components, or the phone can be marginally shrunk down
 
Inafikirisha sana kwakweli.huko tunapoelekea hata laini hazitokuwepo,unajisajili kwa access ya mtandao husika kisha unafanya matumizi ya laini kama kawaida.
Imeshaanza ila inaitwa Esim( laini usioiona kwa macho) iphones na flagship kadhaa za android wanazo siku bongo wakij na hio kitu navunja milaini yangu yote.
Jirani zetu wameanza soon tizma hii
IMG_20210608_233841.jpg
 
Naona mpaka sasa hujaamini tu.

Anasema kuna iPhone zinakuja bila charger yake so tujiandae tunaponunua simu tuende na pesa ya charger kuanzia sasa na kizazi kijacho mpaka earphones nazo zitaondolewa kwenye mabox yake
Mbona hii ya earphone ni kitambo ishaanza kuwork.
 
Who is docomo? Nisaidie
Ni mobile phone operator japan. Kuna simu hasa za sony uwa zinakuja na logo ya docomo, ukiona hivyo usinunue itakusumbua.
Pia xiomi naskia nao wana mpango huo wa kuanzisha kitu kaa hicho cha kutumua app kwa wanaotaka watakuwa wanatoa huduma ya simu
 
Ni mobile phone operator japan. Kuna simu hasa za sony uwa zinakuja na logo ya docomo, ukiona hivyo usinunue itakusumbua.
Pia xiomi naskia nao wana mpango huo wa kuanzisha kitu kaa hicho cha kutumua app kwa wanaotaka watakuwa wanatoa huduma ya simu
Ina maana simu ikija ni no laini unafanyiwa setting go deep kidogo kiongozi hasa upande wa kampuni hii niliona mahaba nayo (Xiaomi) wataanza lini nijipange
 
Watanzania wengi huwa wana uadui mkubwa na teknolojia nakumbuka vita waliyoipigana dhidi ya camera za digital eti kiss hawabaki na negative ila mwisho wa siku wamezoea kama walivyozoea tizo
 
Back
Top Bottom