Wadau haya majina kama MAJENGO, GEZAULOLE, MJIMWEMA yapo karibia mikoa mingi.
Historia ya nchi kuamua kutoa haya majina ikoje na kwa sababu gani? Inamaana hakukuwepo na majina mengine? Mikoa ambayo yana majina hayo ni Mwanza, Kigoma, Wilaya ya Hai. Utakuta mkoa au wilaya ina majina yote 3 au 2 au 1.
Wenye historia watujuze
Historia ya nchi kuamua kutoa haya majina ikoje na kwa sababu gani? Inamaana hakukuwepo na majina mengine? Mikoa ambayo yana majina hayo ni Mwanza, Kigoma, Wilaya ya Hai. Utakuta mkoa au wilaya ina majina yote 3 au 2 au 1.
Wenye historia watujuze