Kwanini Mainjinia wa Tanzania hawana legacy katika nchi yao

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,661
46,349
Sijawahi kuona miondombinu au majengo ya kuvutia ya kihistoria yaliyosanifiwa na wasanifu majengo (architects) wa Tanzania au kujengwa na civil engineers wabongo.

Nina mashaka pia kwamba barabara nyingi ambazo huwa zinawekwa viraka mara kwa mara na miaka michache tu baada ya kujengwa kwa lami huwa zimejengwa na mainjinia wa barabara wabongo.

Serikali inapokuwa inazungumzia local content kwenye miradi mikubwa si ndio mambo kama haya nayo yanapaswa kuonekana!
 
Sijawahi kuona miondombinu au majengo ya kuvutia ya kihistoria yaliyosanifiwa na wasanifu majengo (architects) wa Tanzania au kujengwa na civil engineers wabongo.

Nina mashaka pia kwamba barabara nyingi ambazo huwa zinawekwa viraka mara kwa mara na miaka michache tu baada ya kujengwa kwa lami huwa zimejengwa na mainjinia wa barabara wabongo.

Serikali inapokuwa inazungumzia local content kwenye miradi mikubwa si ndio mambo kama haya nayo yanapaswa kuonekana!
Kwa majengo ya kihistoria utakuwa unawaonea kwani wataalam wetu walianza kupata elimu ya ujuzi kuanzia 1961,baada ya uhuru, kwa muda huo hawawezi kuingia kwenye historia. Miaka say 50 to come watakuwa kwenye historia kulingana na mapinduzi ya technology kwenye sector ya ujenzi.

Sasa kuna AI (artificial intelligence) kwenye ujenzi so baada ya miaka mingi mostly ya majengo waliyo design kwa sasa atakuwa ya kushangaza na hivyo kuingia hadi kuwa ya kihistoria kama yale ya Kilwa, Bagamoyo na Stone town Unguja
 
Sio kwamba haujawahi kuona bali ni kwamba huijui sekta ya ujenzi lakini unajiaminisha kuwa unaijua. Kwanza tofautisha civil engineers au architects na wakandarasi . Kampuni ya kikandarasi inaweza kuwa ya kichina lakini ikawa na civil engineers au architects wa kutegemewa watanzania. Barabara au jengo ikijengwa na hiyo kampuni wewe utawasifu wachina lakini kumbe kwenye hiyo kampuni ya kichina kuna bridge engineer, material engineer ,architects wa kitanzania ambao wamefanikisha hizo designing.

Kampuni za kikandarasi za kitanzania kutojenga miradi mikubwa haimaanishi watanzania watalaamu hawapo na hawategemewi kwenye miradi mikubwa. Kuto kuona kampuni ya kitanzania ikitekeleza miradi mikubwa ya barabara au majengo Kwa kutumia watalaamu wa kitanzania ni suala la kiuchumi zaidi. Kutekeleza miradi kunahitaji mtaji mkubwa.

Pia suala la mkandarasi wa kitanzania kujenga barabara chini ya kiwango ni suala la uadilifu. Kutokuwa muadilifu inaweza ikawa ni Kwa mwenye kampuni ambae pengine sio civil engineer hivyo kuamua kuleta janja janja akishirikiana na watu wengine ili kupata faida kubwa. Pia inaweza ikawa Kwa civil engineers kutokuwa waadilifu lakini hauwezi kuhitimsha kuwa baadhi ya barabara kuwa chini ya kiwango sababu ni civil engineers.
 
Kwa majengo ya kihistoria utakuwa unawaonea kwani wataalam wetu walianza kupata elimu ya ujuzi kuanzia 1961,baada ya uhuru, kwa muda huo hawawezi kuingia kwenye historia. Miaka say 50 to come watakuwa kwenye historia kulingana na mapinduzi ya technology kwenye sector ya ujenzi. Sasa kuna AI (artificial intelligence) kwenye ujenzi so baada ya miaka mingi mostly ya majengo waliyo design kwa sasa atakuwa ya kushangaza na hivyo kuingia hadi kuwa ya kihistoria kama yale ya Kilwa, Bagamoyo na Stone town Unguja
Miaka 62 ya uhuru tunakosa hata structure mbili au tatu za kipekee za kujivunia zilizosanifiwa au kujengwa na Watanzania?!
 
1698690788417.jpeg

1698690858204.png

Architect Beda Jonathan Amuli aliacha alama ya Kariakoo Market.
 
Sio injinia tu. Kila mmoja kwenye field yake ajiulize anaacha legacy gani.

Tunakariri na kuhitimu bila ujuzi. Vyeti vikipatikana ndiyo inakuwa wamemaliza, kifupi hatuendi hatua nyingine ndiyo maana hatuna skilled labour / workforce watendakazi wenye ujuzi.
Skilled labor refers to highly trained, educated, or experienced segments of the workforce that can complete more complex mental or physical tasks on the job. Skilled labor is often specialized and may require a prolonged period of training and experience.
Benki ya Dunia World Bank inakwenda mbali na

Skills development is at the center of changes happening in education and labor markets amid the global mega trends, such as automation, action against climate change, the digitalization of products and services, and a shrinking labor force, which are changing the nature of work and skills demands. Consequently, skills and workforce development systems must proactively adapt to fast transformations posed by automation, climate action, digitalization, and the evolving labor markets.

These evolving trends will redefine the paradigms of education and workforce development systems globally.

In the dynamic landscape of the modern global labor market, education and workforce development systems must become more personalized, accessible (allowing for remote and hybrid learning), and continuous along throughout workers’ careers– placing “skills development” at the heart of these global transitions.

Moreover, skills systems globally (and notably in LMICs) will need to adapt to the fact that many workers will engage in freelancing/informal jobs or self-employment that need to become more profitable, productive, and conducive for economic growth.

To succeed in the 21st century labor market, one needs a comprehensive skill set composed of:
  1. Foundational and higher order skills, which are cognitive skills that encompass the ability to understand complex ideas, adapt effectively to the environment, learn from experience, and reason. Foundational literacy and numeracy as well as problem-solving, communication and informational analysis are cognitive skills.
  2. Socio-emotional skills, which describe the ability to manage relationships, emotions, and attitudes. These skills include being able to navigate interpersonal and social situations effectively, as well as leadership, teamwork, self-control, and grit.
  3. Specialized skills, which refer to the acquired knowledge, expertise, and interactions needed to perform a specific task, including the mastery of required materials, tools, or technologies. Specialized technical and cognitive skills as well as entrepreneurship skills are included in this category.
  4. Digital skills, which are cross-cutting and draw on all of the above skills, describe the ability to access, manage, understand, integrate, communicate, evaluate, and create information safely and appropriately.

Skills evolution


Read more website source : Skills Development
 
Miaka 62 ya uhuru tunakosa hata structure mbili au tatu za kipekee za kujivunia zilizosanifiwa au kujengwa na Watanzania?!
Kuna kitu usichokielewa

Jemgo liweje sio kazi ya msanifu majengo.Mteja ndie huamua kutegemea na mfuko wake ndipo msanifu majengo huandaa mchoro unaoendana na wazo la mteja na hela yake.Sababu jengo sio mali ya msanifu majengo.

Tanzania watu wabahili sana ikiwemo serikali Inapofikia kwenye gharama za ujenzi

Wanachotaka jengo. a kukidhi mahitaji sio.jengo.la kukidhi wapiga picha za camera na simu kama wewe na wapita njis washangaa majengo wanaogeuza majengo kuwa ni mbuga ya utalii
 
Sio kwamba haujawahi kuona bali ni kwamba huijui sekta ya ujenzi lakini unajiaminisha kuwa unaijua. Kwanza tofautisha civil engineers au architects na wakandarasi . Kampuni ya kikandarasi inaweza kuwa ya kichina lakini ikawa na civil engineers au architects wa kutegemewa watanzania. Barabara au jengo ikijengwa na hiyo kampuni wewe utawasifu wachina lakini kumbe kwenye hiyo kampuni ya kichina kuna bridge engineer, material engineer ,architects wa kitanzania ambao wamefanikisha hizo designing.

Kampuni za kikandarasi za kitanzania kutojenga miradi mikubwa haimaanishi watanzania watalaamu hawapo na hawategemewi kwenye miradi mikubwa. Kuto kuona kampuni ya kitanzania ikitekeleza miradi mikubwa ya barabara au majengo Kwa kutumia watalaamu wa kitanzania ni suala la kiuchumi zaidi. Kutekeleza miradi kunahitaji mtaji mkubwa.

Pia suala la mkandarasi wa kitanzania kujenga barabara chini ya kiwango ni suala la uadilifu. Kutokuwa muadilifu inaweza ikawa ni Kwa mwenye kampuni ambae pengine sio civil engineer hivyo kuamua kuleta janja janja akishirikiana na watu wengine ili kupata faida kubwa. Pia inaweza ikawa Kwa civil engineers kutokuwa waadilifu lakini hauwezi kuhitimsha kuwa baadhi ya barabara kuwa chini ya kiwango sababu ni civil engineers.
Neno chini ya kiwango sometimes linatumika vibaya. Kufanya ujenzi ni sawa na kununua bidhaa. Budget yako ndiyo huamua kiwango cha bidhaa yako. Mfano kuna kiatu cha elfu kumi na kuna cha elfu 70,vyote vitakidhi kusudi sawa ila viwango tofauti
 
Kuna kitu usichokielewa

Jemgo liweje sio kazi ya msanifu majengo.Mteja ndie huamua kutegemea na mfuko wake ndipo msanifu majengo huandaa mchoro unaoendana na wazo la mteja na hela yake.Sababu jengo sio mali ya msanifu majengo.

Tanzania watu wabahili sana ikiwemo serikali Inapofikia kwenye gharama za ujenzi

Wanachotaka jengo. a kukidhi mahitaji sio.jengo.la kukidhi wapiga picha za camera na simu kama wewe na wapita njis washangaa majengo wanaogeuza majengo kuwa ni mbuga ya utalii
Msanifu majengo pia lazima atoe mawazo yake na mapendekezo yake sio kujikalia tu kama boga. Unaweza kuwa na pesa ukakosa msanifu majengo mzuri au au ukapata mjenzi kanjanja tu. Kuna watu na taasisi wanatumia pesa nyingi ila wanajengewa majengo ya hovyo.
 
Sio kwamba haujawahi kuona bali ni kwamba huijui sekta ya ujenzi lakini unajiaminisha kuwa unaijua. Kwanza tofautisha civil engineers au architects na wakandarasi . Kampuni ya kikandarasi inaweza kuwa ya kichina lakini ikawa na civil engineers au architects wa kutegemewa watanzania. Barabara au jengo ikijengwa na hiyo kampuni wewe utawasifu wachina lakini kumbe kwenye hiyo kampuni ya kichina kuna bridge engineer, material engineer ,architects wa kitanzania ambao wamefanikisha hizo designing.

Kampuni za kikandarasi za kitanzania kutojenga miradi mikubwa haimaanishi watanzania watalaamu hawapo na hawategemewi kwenye miradi mikubwa. Kuto kuona kampuni ya kitanzania ikitekeleza miradi mikubwa ya barabara au majengo Kwa kutumia watalaamu wa kitanzania ni suala la kiuchumi zaidi. Kutekeleza miradi kunahitaji mtaji mkubwa.

Pia suala la mkandarasi wa kitanzania kujenga barabara chini ya kiwango ni suala la uadilifu. Kutokuwa muadilifu inaweza ikawa ni Kwa mwenye kampuni ambae pengine sio civil engineer hivyo kuamua kuleta janja janja akishirikiana na watu wengine ili kupata faida kubwa. Pia inaweza ikawa Kwa civil engineers kutokuwa waadilifu lakini hauwezi kuhitimsha kuwa baadhi ya barabara kuwa chini ya kiwango sababu ni civil engineers.
Unafikiri nani mwenye akili huko nje ya Tz atakupa kazi kama anaona barabara zako zote ulizojenga kwako zimejaa viraka?? Katika mataifa makini hawatakaa waelewe hiyo habari ya kukubali bajeti hafifu/kidogo ili uko compromise ubora wa kitu muhimu kama barabara.
 
Back
Top Bottom