lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
Kuna kitu kinanichanganya sana.Nimetembea katika hoteli ni migahawa mbalimbali ndani na nje ya nchi lakini sijawahi kukuta nyama ya bata inauzwa. mfano - CHIPS BATA,WALI BATA UGALI BATA, lakini zimejaa nyama za kuku tu. Je, kwanini hatupendi kula nyama ya bata kama kuku?
Je, siyo tamu,ni gharama?
Jamani karibuni tujuzane.
Je, siyo tamu,ni gharama?
Jamani karibuni tujuzane.