Kwanini magonjwa ya mgongo na uti yamekithiri sana kwa watoto na vijana wa sasa?

I am Groot

JF-Expert Member
Jul 20, 2018
3,730
10,033
Miaka ya hivi karibuni kumeibuka kwa wimbi kubwa sana la vijana na watoto kuandamwa na matatizi ya maumivu ya migongo na uti wa mgongo, ingawa maradhi haya yanatibika ila imekuwa tofauti kidogo kwa baadhi yao kwani wengine hupelekea hata ulemavu iwe wa muda au kudumu.

Ni jambo la kuhuzunisha; wengi wao wanapoteza ndoto zao za kimaisha na hata kukata tamaa.

Tofauti na zamani hali hii ilikuwa zaidi kwa watu wazima na wazee. Ni nini sababu inayopelekea jambo hili kwa sasa?
 
Miaka ya hivi karibuni kumeibuka kwa wimbi kubwa sana la vijana na watoto kuandamwa na matatizi ya maumivu ya migongo na uti wa mgongo, ingawa maradhi haya yanatibika ila imekuwa tofauti kidogo kwa baadhi yao kwani wengine hupelekea hata ulemavu iwe wa muda au kudumu.
Ni jambo la kuhuzunisha; wengi wao wanapoteza ndoto zao za kimaisha na hata kukata tamaa.
Tofauti na zamani hali hii ilikuwa zaidi kwa watu wazima na wazee. Ni nini sababu inayopelekea jambo hili kwa sasa?

Kuchezea computer saana au simu ni vitu ambavyo vinapelekea watoto wenye umri mdogo kupata matatizo haya
 
Nadhani mfumo wa maisha wa sasa unachochea sana sedentary life styele. Watu tunakaa kwa muda mrefu na hatuna mazoezi ya mwili kama zamani. Distance ndogo tu ya kutembea, mtu anawasha ndinga. Kazini mtu anakaa kuanzia asubuhi anainuka wakati wa lunch akirudi anakaa tena hadi saa 11 jioni.

Rai yangu, tujitahidi kuishughulisha miili yetu hasa tunaofanya kazi za kukaa muda mrefu, itasaidia kupunguza hii shida na shida nyingine za kiafya.
 
Miaka ya hivi karibuni kumeibuka kwa wimbi kubwa sana la vijana na watoto kuandamwa na matatizi ya maumivu ya migongo na uti wa mgongo, ingawa maradhi haya yanatibika ila imekuwa tofauti kidogo kwa baadhi yao kwani wengine hupelekea hata ulemavu iwe wa muda au kudumu.

Ni jambo la kuhuzunisha; wengi wao wanapoteza ndoto zao za kimaisha na hata kukata tamaa.

Tofauti na zamani hali hii ilikuwa zaidi kwa watu wazima na wazee. Ni nini sababu inayopelekea jambo hili kwa sasa?

Nadhani mfumo wa maisha wa sasa unachochea sana sedentary life styele. Watu tunakaa kwa muda mrefu na hatuna mazoezi ya mwili kama zamani. Distance ndogo tu ya kutembea, mtu anawasha ndinga. Kazini mtu anakaa kuanzia asubuhi anainuka wakati wa lunch akirudi anakaa tena hadi saa 11 jioni.

Rai yangu, tujitahidi kuishughulisha miili yetu hasa tunaofanya kazi za kukaa muda mrefu, itasaidia kupunguza hii shida na shida nyingine za kiafya.
Gombeyehealthcare.
Tunatoa huduma zote za MIFUPA nk. Tupigie kwa namba +255 678 211 747/ + 255 733 482 038.
Tunapatikana Dar es salaam ILALA.
 
Gombeyehealthcare.
Tunatoa huduma zote za MIFUPA.
Tupigie kwa simu kwa namba
+255 678 211 747/ + 255 733 482 038.
Tunapatikana Dar es salaam ILALA.
Miaka ya hivi karibuni kumeibuka kwa wimbi kubwa sana la vijana na watoto kuandamwa na matatizi ya maumivu ya migongo na uti wa mgongo, ingawa maradhi haya yanatibika ila imekuwa tofauti kidogo kwa baadhi yao kwani wengine hupelekea hata ulemavu iwe wa muda au kudumu.

Ni jambo la kuhuzunisha; wengi wao wanapoteza ndoto zao za kimaisha na hata kukata tamaa.

Tofauti na zamani hali hii ilikuwa zaidi kwa watu wazima na wazee. Ni nini sababu inayopelekea jambo hili kwa sasa?
 
Mtoto anabega begi kubwa lenye madaftari yake yote tena apo unakuta ni kila siku unategemea nn apo
 
Tatizo ni kubwa sana ukiwa msikitini mkimaliza kuswali tu unaona kila mtu anakimbilia kuegemea ukutani.
 
Back
Top Bottom