B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,279
- 2,733
Habari za saa hizi wakulugwaa.
Kuna swali huwa najiuliza sana nakosaa majibu. Uchawi upo hata kama hatuamini Ila upo. Je, ni kweli kwamba magereza na mabenki mengi huwa kuna zindiko so nguvu za Giza haziwezi kufanya kazi? Mfano mtu amefungwa kwenye gereza hakuna uwezekano wa kutumika mfungwa atoroshwe/atoweke gerezani?
Kwenye mabenki hakuna nguvu za giza zinaweza kumfanya mtu aingie asionekane mpaka strong room(wanapo hifadhi pesa na kuchukua pasipo kuonekana?
Kuna swali huwa najiuliza sana nakosaa majibu. Uchawi upo hata kama hatuamini Ila upo. Je, ni kweli kwamba magereza na mabenki mengi huwa kuna zindiko so nguvu za Giza haziwezi kufanya kazi? Mfano mtu amefungwa kwenye gereza hakuna uwezekano wa kutumika mfungwa atoroshwe/atoweke gerezani?
Kwenye mabenki hakuna nguvu za giza zinaweza kumfanya mtu aingie asionekane mpaka strong room(wanapo hifadhi pesa na kuchukua pasipo kuonekana?