karv
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 1,799
- 3,221
- Thread starter
- #41
Hapo mkuu bado Sijazungumzia wakulima wa kahawa kutapeliwa hela na kile chama chao cha ushirika pale kayangaAisee wewe kweli ni mwana Karagwe maana naona vichochoro vyote unavyo kwenye kiganja.
Naona Karagwe ndiyo wilaya ina changamoto nyingi kidogo.
Sijagusa kuhusu migomba kufa kwa ugonjwa wa mnyauko lakini hata hawajapiga kelele wataalamu waende kwa ajili ya utafiti
Sijasema ule mgodi wa Tin kule kyerwa mgodi ambao haujanufaisha wananchi
Bado sijasema kwamba lile bwawa la nkwenda wameshindwa kufuga hata samaki
Nimekaa kimya kuhusu hifadhi ya rumanyika na ya kule murongo
Kusema.ukweli.ile.karagwe kama sio Bagonza na KKKT yake isingetofautiana na kigoma