Hapo tunahitaji uthibitisho,labda experience yako ni kwa walevi! who knows?
Mwili wa mwanaume unabadilika baada ya tendo la ndoa. during sex and after climax depletes the muscles of energy-producing glycogen, which leads to sleepiness. Since men have more muscle mass than women, they're generally sleepier after sex. wamawake kuhisi kiu baada ya sex ni kwamba; katika tendo la ndoa mwili wote unakuwa umebadilika kutokana na hormones. nisawa na anae kimbia mbio za kupokezana vijiti. baada ya hapo lazima maji ndio yanatuliza.
Kweli tom** uyaone!!
Wewe unampa demu wako viazi vitamu bila hata juice ya kijoti,akimaliza kula unakamua halafu unakuja kuuliza hapa.
Wewe unampa demu wako viazi vitamu bila hata juice ya kijoti,akimaliza kula unakamua halafu unakuja kuuliza hapa.
Wewe unampa demu wako viazi vitamu bila hata juice ya kijoti,akimaliza kula unakamua halafu unakuja kuuliza hapa.
shosti nimelipenda jibu lako.....Mtu anapouliza upuuzi mpe jibu la kipuuzi ila usiwe kama MAKAMBA utoe jibu la kipuuzi kwa swali valid.Wewe unampa demu wako viazi vitamu bila hata juice ya kijoti,akimaliza kula unakamua halafu unakuja kuuliza hapa.