Kwanini macho na masikio ni kwenye mechi ya Yanga na siyo Simba

Usichojua ni kwamba Yanga anaenda kuingia makundi kwa mara ya kwanza toka 1998 wakati Simba imeisha zoea sasa kuingia makundi.... imagine hujawahi kwenda ulaya unafikiri mchecheto wako utakua sawa na anaye enda kila mwaka.
Basi uzi ufungwe
 
KICHWA CHA SHABIKI WA SIMBA AKA MAKOLO

GSM anawapa bahasha marefa
GSM anawapa bahasha TFF
GSM anawapa bahasha timu pinzani wacheze chini ya kiwango
GSM anawapa bahasha timu pinzani zinazocheza na simba
GSM anawapa bahasha mashabiki
GSM anawapa bahasha CAF
GSM anawapa bahasha waandishi wa habari
GSM anawapa bahasha wachezaji wa timu pinzani ili wawaumize wachezaji wa simba
Wanajisahau kwamba michezo michafu wao ndo wanaongoza.

1. Kuhonga timu pinzani.
2. Ushirikina uliotukuka.
3. Waandishi machawa kama akina shafii na jemedar
4. Kupuliza madawa vyumbani.
 
Hata wenyewe mikia kutwa kufungua nyuzi za YANGA. Wasikilize huko huko akina GENTAMYCIME. Akina @Bobansunzu nyuzi zao zote kutwa ni YANGA tu. Hata yule mlopokaji wao ameacha kuisemea timu yake amekuwa msemaji wa YANGA tu. Kisa hiki hapa👇
 

Attachments

  • VID-20230913-WA0005.mp4
    3.8 MB
Usichojua ni kwamba Yanga anaenda kuingia makundi kwa mara ya kwanza toka 1998 wakati Simba imeisha zoea sasa kuingia makundi.... imagine hujawahi kwenda ulaya unafikiri mchecheto wako utakua sawa na anaye enda kila mwaka.
Yanga bado haijaingia makundi mzee
 
Huwezi kuambatana na msemaji kama ahamed ally anaelopoka vitu asivyovijua..
Yaani simba wamtafute msemaji anaejua mpira ni nini kwanza.

Huyu dogo kamwe, mpira anaujua na akiongea kitu hata mbele za watu wenye heshima zao, anaeleweka na unakua na amani kwa kile atachokizunguza...huyu dogo hata akiingia kwenye siasa, akipanda jukwaani akiongea unamuelewa.
Huyu huyu aliyemfananisha Mgunda na andazi?
 
Viongozi wa Yanga wamejitafuta na wamejipata, wamegundua Yanga ina mashabiki, wapenzi na wana chana wengi nje na ndani ya nchi.
Walichofanya ni kuweka nguvu na akilizao kuhamasisha mechi yao na kukataa kabisa kuiongelea Simba katika hamasa zao na mashabiki wame itika.
Matokeo yake Simba imebaki katika uhalisia wake na mambo yake.
Kama yanga wataendelea na utaratibu huu wa kutoitaja Simba katika hamasa zao basi Simba watakua na wakati mgumu ku push ajenda zao.
Simba walikua wanatembelea nyota ya yanga katika kubishana vitu vya kipuuzi.
Yeah, hata hapa JF ni nadra kukuta shabiki wa Yanga anaanzisha uzi kuhusu Simba ila mashabiki wa Simba kila siku Ni kuongelea habari za Yanga
Anza na Okwi Boban ,scars,Magufuli, popoma na wengineo kutwa kufungua uzi kuhusu habari za Yanga
Hilo hawalioni kua linaipa mileage Yanga ila wanalalamika waandishi huku wao wakijisahau
 
Yeah, hata hapa JF ni nadra kukuta shabiki wa Yanga anaanzisha uzi kuhusu Simba ila mashabiki wa Simba kila siku Ni kuongelea habari za Yanga
Anza na Okwi Boban ,scars,Magufuli, popoma na wengineo kutwa kufungua uzi kuhusu habari za Yanga
Hilo hawalioni kua linaipa mileage Yanga ila wanalalamika waandishi huku wao wakijisahau
Hata mlopokaji wa simba kutwa anapuyanga kuhusu YANGA. Yule kazi ya ulopokaji kwa simba imemshinda
 
Simba ni tawi la yanga, sometime hurefuka kupita hata mti wenyewe,
Popoma nyuzi 100, kati ya hizo 99 za yanga, 1 ni kuwaponda viongozi wenu simba.
Fikiria ndugu cha-goat
 
Nimeshangaa hakuna uwiano wa habari kwenye vyombo vya habari,mechi inayopewa kipaombele ni ya Yanga vs Al Marekh na mechi ya Simba kupuuzwa.

Hata msafara unaongelewa wa Yanga na msafara wao wa makosta,waandishi wa habari wanaongelea Yanga tu na hata baadhi yao kusafiri na Yanga kama timu nzima ya clouds sport extra.

Kwanini vyombo vya habari vipo biased? Mechi ya Yanga ina nini hasa?
Ushamba na ulimbukeni wa michezo hii unawasumbua sana,tunawaangalia tu kwa dharaaaau
 
Hatua ya pili tu watu wanaongozana kama manyumbu kwenda kushuhudia , vipi mkivuka robo fainali si mtampeleka rais na baraza zima la mawaziri?

Mashabiki wa timu kubwa daima wanaanza kusafiri na timu baad ya kufika ¼, ½ na fainali tofauti na hapo ni vikundi vya ushangiliaji tu na wapenzi waliopo katika nchi husika. ...
Mashabiki wa Timu kubwa wanapenda na timu popote.acha uzwazwa
 
Huwezi kuambatana na msemaji kama ahamed ally anaelopoka vitu asivyovijua..
Yaani simba wamtafute msemaji anaejua mpira ni nini kwanza.

Huyu dogo kamwe, mpira anaujua na akiongea kitu hata mbele za watu wenye heshima zao, anaeleweka na unakua na amani kwa kile atachokizunguza...huyu dogo hata akiingia kwenye siasa, akipanda jukwaani akiongea unamuelewa.
Wewe mbuzi kweli hujasikia utumbo wa Kamwe
 
Nimeshangaa hakuna uwiano wa habari kwenye vyombo vya habari,mechi inayopewa kipaombele ni ya Yanga vs Al Marekh na mechi ya Simba kupuuzwa.

Hata msafara unaongelewa wa Yanga na msafara wao wa makosta,waandishi wa habari wanaongelea Yanga tu na hata baadhi yao kusafiri na Yanga kama timu nzima ya clouds sport extra.

Kwanini vyombo vya habari vipo biased? Mechi ya Yanga ina nini hasa?
Ni ujuha tu. Tuna timu tatu zinazotuwakilisha mashindano ya CAF kwa sssa yaani Singida Big Stars, Simba na Yanga.
Hakuna kinachozungumzwa kuhusu Singida ambayo inacheza hapa hapa nyumbani. AIBU.
 
Nimeshangaa hakuna uwiano wa habari kwenye vyombo vya habari,mechi inayopewa kipaombele ni ya Yanga vs Al Marekh na mechi ya Simba kupuuzwa.

Hata msafara unaongelewa wa Yanga na msafara wao wa makosta,waandishi wa habari wanaongelea Yanga tu na hata baadhi yao kusafiri na Yanga kama timu nzima ya clouds sport extra.

Kwanini vyombo vya habari vipo biased? Mechi ya Yanga ina nini hasa?
Hata waandishi hapa Rwanda wako busy na Yanga tu,hapo tupo mazoezini 😀😀😀
IMG-20230915-WA0017.jpg
 
Nimeshangaa hakuna uwiano wa habari kwenye vyombo vya habari,mechi inayopewa kipaombele ni ya Yanga vs Al Marekh na mechi ya Simba kupuuzwa.

Hata msafara unaongelewa wa Yanga na msafara wao wa makosta,waandishi wa habari wanaongelea Yanga tu na hata baadhi yao kusafiri na Yanga kama timu nzima ya clouds sport extra.

Kwanini vyombo vya habari vipo biased? Mechi ya Yanga ina nini hasa?
kwa sababu yanga ndo kwanza wanaanza kutoa matongotongo kimataifa, simba wapo kwenye game kimataifa kitambo sana wanachofanya ni kulinda consistence yao
 
KICHWA CHA SHABIKI WA SIMBA AKA MAKOLO

GSM anawapa bahasha marefa
GSM anawapa bahasha TFF
GSM anawapa bahasha timu pinzani wacheze chini ya kiwango
GSM anawapa bahasha timu pinzani zinazocheza na simba
GSM anawapa bahasha mashabiki
GSM anawapa bahasha CAF
GSM anawapa bahasha waandishi wa habari
GSM anawapa bahasha wachezaji wa timu pinzani ili wawaumize wachezaji wa simba
Ahmed amechoka jana kawachana live mashabiki Tunduma,wao wapo karibu ila hata Hiace wameshindwa kukodi kwenda Ndola
 
Back
Top Bottom