Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Nimeshangaa hakuna uwiano wa habari kwenye vyombo vya habari,mechi inayopewa kipaombele ni ya Yanga vs Al Marekh na mechi ya Simba kupuuzwa.
Hata msafara unaongelewa wa Yanga na msafara wao wa makosta,waandishi wa habari wanaongelea Yanga tu na hata baadhi yao kusafiri na Yanga kama timu nzima ya clouds sport extra.
Kwanini vyombo vya habari vipo biased? Mechi ya Yanga ina nini hasa?
Hata msafara unaongelewa wa Yanga na msafara wao wa makosta,waandishi wa habari wanaongelea Yanga tu na hata baadhi yao kusafiri na Yanga kama timu nzima ya clouds sport extra.
Kwanini vyombo vya habari vipo biased? Mechi ya Yanga ina nini hasa?