Jamani wasukuma kwanini mabinti weupe mnawageuza dili la kupatia pesa? Yaani mzee akiwa na mabinti wawili moja mweupe na mwingine mweusi, akiwaozesha basi binti mweupe mahari yake itakua milioni 4 na yule mweusi itakua laki 3 tu.
Kwanini wasukuma?
Kwanini wasukuma?