Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,638
Jamani hivi Tanga kunani?
Toka nimekua na kubalehe nasikia tu kuwa ukipata mwanamke wa kitanga haujinasui na wengine wanasema eti mwanaume ukienda Tanga hauwezi rudi siku hiyo hiyo lazima ulale.
Najiuliza hivi mabinti wa kitanga wana nini ?
Huku mtaani kwetu wanagombaniwa kama njungu.
Tufahamisheni jamani wanaojua



