Kwanini mabenki yachaji akaunti isiyokuwa na hela?

Kwanini mabenki yachaji akaunti isiyokuwa na hela?

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
2,691
Reaction score
2,303
Ni kitu cha kusikitisha sana mabenki hayapochaji hela za service charge wakati akaunti inapokuwa haina hela.

Sasa ni service ipi wanakuwa wametoa hapo?
 
Back
Top Bottom