fdizzle
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,902
- 2,396
Wadau,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Nashindwa kuelewa ni utaratibu gani unaotumiwa na kampuni hii ya usafirishaji abiria kutoingia pale stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani Ubungo na badala yake wao wakitokea na mikoani wanapitiliza mpaka eneo la Shekilango ilipo stendi yao.
Ikumbukwe kuwa hili suala linaleta usumbufu kwa abiria mfano anaekaa Buguruni itampasa kutembea kutoka Shekilango mpaka darajani Ubungo kupanda daladala za Buguruni.
Kwa anaefahamu kuhusu huu utaratibu wao naomba atujuze je inakubalika hiyo hali?
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Nashindwa kuelewa ni utaratibu gani unaotumiwa na kampuni hii ya usafirishaji abiria kutoingia pale stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani Ubungo na badala yake wao wakitokea na mikoani wanapitiliza mpaka eneo la Shekilango ilipo stendi yao.
Ikumbukwe kuwa hili suala linaleta usumbufu kwa abiria mfano anaekaa Buguruni itampasa kutembea kutoka Shekilango mpaka darajani Ubungo kupanda daladala za Buguruni.
Kwa anaefahamu kuhusu huu utaratibu wao naomba atujuze je inakubalika hiyo hali?