kwani ccm kuna sheria hiyo kuwalazimisha vaa kijani!?..Ni kwa sababu CHADEMA hakuna sheria inayomlazimisha mwanachama wake kuvaa sare, na CHADEMA wanaheshimu uhuru wa mtu.
wakali wa kuhamisha magoli kwenye ubora wenuLowassa ana mashabiki vyama vyotee vya siasa hapa tz so Hana haja ya kuvaa sare ya chama
Napia chadema hatuangalii kuvaa magwanda bali matendo
Waweza vaa suti na kubeba bibilia kumbe ni muasherati au jambazi no 1
Haya mabo yako huku kwetu bongo na hayana faida yoyote. Mbona wanaovàa rangi za majani wametufikisha hapa tunapiga bla bla tu.Nawauliza hasa wanachama wa CHADEMA. Tangu kuhamia kwake katika chama hicho kikuu cha upinzani nchini, Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania Edward Lowassa amekuwa havai mavazi wala nembo za CHADEMA.
Kwanini? Lowassa haonekani kuvaa magwanda wala fulana za CHADEMA mahali popote. Fulana hubeba nembo za chama chake. Nembo za CHADEMA hubeba itikadi na msimamo wa chama. Kwanini yeye havai?
Is he a temporary member of CHADEMA? Hapendi au kukubaliana na mavazi na nembo rasmi za CHADEMA? Katika mkutano wa Baraza Kuu la CHADEMA huko Dodoma leo,ni Lowassa tu ambaye hakuvaa fulana wala gwanda rasmi la CHADEMA. WHY?
Jibu swali hilo muhimu acheni kujitoa ufahamu. Mnatoka mapovu kwa swali hili muhimu, yaani mmepigwa upofu mapaka jambo hili hamlioni mnatakiwa bongo zenu zipigwe nyundo labda zitashituka. kwanini wote wavae yeye asivae kama mnamfananisha na Nyerere ina maana I Lowasa ni zaidi ya Mbowe hii imethibitisha kuwa Chadema ilishauzwaa siku nyingi maana yake hakuna anayeweza kumwambia kitu Lowasa achaneni na hiyo Sacos.Kwa akili hizi wacha tuibiwe magwangwala sijui makaniki. Tunaanza kujadili nani kavaa nini. Really?
Ha ha ha vijana wa chadema banaNi kwa sababu CHADEMA hakuna sheria inayomlazimisha mwanachama wake kuvaa sare, na CHADEMA wanaheshimu uhuru wa mtu.
Usitueleze mambo ya nyerere,mbona huyu lowasa akiwa ccm alikuwa anavaa kwa nini huku havaiHata Nyerere alivaa mara chache sana sare za ccm
Kwani kuvaa sare ndio kukipenda sana chama???? Iweje uvae sare ya chadema afu moyoni uwe msaliti/CCM???Wengi wa wanachama wataanza hoo nyerere alikuwa havai sare za ccm,,huyu mzee simpendi ndani ya chadema jamani
Si ange vaa za ccm basi.Kahamia bila kupenda,ni uchu wa urais,mapenzi yake kwa ccm huyo mzee
Huko mimi sijui.kwani ccm kuna sheria hiyo kuwalazimisha vaa kijani!?..
Mbona hizo sifa zinaendana kabisa na mgombea Urais wenu !Lowassa ana mashabiki vyama vyotee vya siasa hapa tz so Hana haja ya kuvaa sare ya chama
Napia chadema hatuangalii kuvaa magwanda bali matendo
Waweza vaa suti na kubeba bibilia kumbe ni muasherati au jambazi no 1