kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,422
- 7,211
lowassa anafanya siasa sio uanaharakati. alikwisha waeleza nini anataka msijidai hamjasikia. yeye amenunua cdm aende ikulu sio kuvaa magwanda yenu. bado kidogo ataanza kuwatimua wasiyotaka kumuelewa.Mweshimiwa lowasa bila shaka umetoka sehem moja umekuja nyingine, sehem hii uliyokuja tofauti kidogo na uliyotoka, ni kwamba umevua gamba sasa tunataka uvae gwanda, nimekushudia toka shelehe ya kukabidhiwa kadi ulivaa suti, nikajua kwakuwa bado ulikuwa haujiunga rasmi, lakini nimeshangaa jana unaenda kwenye tukio la muhim kichama unaenda bila gwanda!
Tena wewe na mkeo, meza nzima niwewe na mama ndio hamkuvaa gwanda, huku tunategemea nguvu ya uma, nashangaa unaongea bila peoples' powel mpaka ulipokumbushwa!
Huku hatuongei kwa upole kumbembeleza ccm, ccm ni pepo bila shaka pepo huwa hatuliambii toka huwa tunalikemea kwa sauti ya ukali, ndiomaana huku tunaitana makamanda kutembea kikamanda, kuongea kikamanda, mavazi kikamanda, naitaji kuona mabadiliko kutoka kwako kuanzia sasa