JESHILAMILAMBO
Member
- Dec 12, 2014
- 80
- 21
lowasa ni mzuri tu kwa kumlinganisha na chekibobu lakini hafai kuwa kiongozi wa serikali bado, ni mwizi bwana unataka nini ili uamini?
Mkuu povu lote hilo la nini? Nakushauri usubiri Oktoba upige kura against him. Au ndio tuseme hii post yako ni kura yako? Haisaidii sana.