Kwanini Lowassa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2015

Unajua shida yetu wa TZ kubwa ni tabia ya kukubali kuaminishwa, Lowasa ana matatizo kidogo sana ukilinganisha bidii na umahiri wake katika siasa, hatujasema kuwa hakuna wengine ila tujenga hoja kuwa yeye alichafuliwa na anaziidi kuchafuliwa na kwa kuwa ukweli uko wazi si busara kuendelea kumchafua Lowasa. Si katoka madarakani mika 4 iliyopita mbona shida ndo kwanza zinazaliwa na nchi imewashinda, shule alizojenga Lowasa sasa ni mapagara tu yanayoongeza mzigo kwa taifa. Ukweli ni kwamba Lowasa kaonewa na wanazidi kumdharirisha sana, hii haikubaliki hapa. AListuambia kwa ufupi tu kwamba kilichokwa kinatafutwa wakati akiwa waziri mkuu ni uwaziri mkuu wake na tuliona ukichukuliwa machoni pake. Alipigwa shavu akanyamaza mbona wanaendelea kumfuata? Wanataka kumuua? Watanzania tumejua ukweli hatumtupi Lowasa sasa kwani atatusaidia kutuonyesha mlango wa kutokea kwa vyovyote vile
 
Lowasa tunaambiwa tunakufagilia ingawa hatukujui ana kwa ana. Hebu njoo mbele utusadie kuwaambia watanzania madudu ya wakubwa zako ili usiwe na deni TZ, wa TZ wanakukumbuka sana, si umeona kuwa nia yao CCM na wakubwa zako ni kukumaliza wewe tu, kwa nini unawafichia siri? Mie nakukubali sana na wenzangu si umeona? toka mbele uwaambie watanzania ukweli ili uwe safi. Ni hilo tu
 
Hii marathon ilianza 2008 sijui kufikia 2015 watakuwa wamebaki wangapi?
attachment.php
 

Attachments

  • Bounce+back+by+Jacob+Zuma.jpg
    Bounce+back+by+Jacob+Zuma.jpg
    21 KB · Views: 3,714
lowasa anafaa kuwa rais ni vizuri ccm wakatambua hilo coz hata anayempinga lowasa ni mnafiki.hao mwanahalisi wamembeza baba wa watu lowasa lakini watz bado tunamkubali tena me naamini hata dr slaa hafikii mziki wa lowasa.
 
saggy

e. Alisimamia utekelezaji wa kuchukua maji kutoka ziwa victoria hadi Shinyanga na Kahama, mradi pekee ulioendeshwa kwa fedha za serikali.
 
Last edited by a moderator:
Kachafuka kama shilingi iliyotumbukia chOoni, ananuka,kaoza,kafulia yeye pamoja na wewe unayemwosha kwa maji ya kisoda.
 
Unasema Ukweli Mkuu,mimi jamani nimesema haya kwa mujibu wa ufahamu wangu mdogo ninaofahamumengine siyafahamu,kama kuna anayemfichia siri aseme sasa na Watanzania watamwelewa,nani asiyejua kwamba Waziri Mkuu anatengeneza maagizo ya Baraza la Mawaziri,kwanini Mzigo huo akatatwikwa EL peke yake?Je Bunge ambacho ni Chombo cha Wananchi katika kuihoji serikali ilikuwa wapi na Je Bunge ni chombo cha kungoja kungoja Kufanya Uchunguzi wa Matatizo ambayo tayari yameishatokea?Kwanini halisadii kuishauri Serikali kuepuka matatizo hayo?

Hapo kwenye nyekundu

na pia kule kwenye story yako ulisema yupo kwenye chama na system mbovu.

Tunataka kubadili chama na hiyo system mbovu, na kwa kuwa humfahamu vizuri ni bora usimsemee, Chama mbadala kipo na kimeonyesha kinaweza kubadili hii system, kama majirani zetu karibu wote wameweza sisi tushindwe tuna nini?

Mabadiliko ndio muhimu kwa nchi yetu.
 
Hata mm namkubali sna EL but autangazie umma kilicho moyoni mwake kuhusu hizi tuhuma!!!!maanake naye akikaa kimya sna itakuwa vigumu watu kumwamini....
 
unajua shida yetu wa tz kubwa ni tabia ya kukubali kuaminishwa, lowasa ana matatizo kidogo sana ukilinganisha bidii na umahiri wake katika siasa, hatujasema kuwa hakuna wengine ila tujenga hoja kuwa yeye alichafuliwa na anaziidi kuchafuliwa na kwa kuwa ukweli uko wazi si busara kuendelea kumchafua lowasa. Si katoka madarakani mika 4 iliyopita mbona shida ndo kwanza zinazaliwa na nchi imewashinda, shule alizojenga lowasa sasa ni mapagara tu yanayoongeza mzigo kwa taifa. Ukweli ni kwamba lowasa kaonewa na wanazidi kumdharirisha sana, hii haikubaliki hapa. Alistuambia kwa ufupi tu kwamba kilichokwa kinatafutwa wakati akiwa waziri mkuu ni uwaziri mkuu wake na tuliona ukichukuliwa machoni pake. Alipigwa shavu akanyamaza mbona wanaendelea kumfuata? Wanataka kumuua? Watanzania tumejua ukweli hatumtupi lowasa sasa kwani atatusaidia kutuonyesha mlango wa kutokea kwa vyovyote vile
ccm wote ndo wameleta matatzo yote hayo. Hatuwataki. Awe rais wa kaya yako tu
 
Mimi simfahamu lowasa na sijawahi kukutana nae, but kutokana na record yake ya kazi nazani anaweza kua raisi mzuri, huyu ameshatubu mazambi yake, anafahamu wapi arekebishe tumpe nafasi 2015.
LOWASA OYEEEEEEEEEEE
 
meonewa sana, amedhililishwa sana, tatizo lilikuwa uwaziri mkuu, Lakini huyo ndie kipenzi che CCM 2015.
 
What can i say on EL's move...,lkn sisi wengi tunajadili paraproofs coz hatuna indepth play ya hao majuha wanaotaka kuwa predisents esp. the name under discussion! i thnk sifa za kiongozi kwa jamii yenye ustaarabu hatakiwi kuwa na mapungufu ambayo EL anakumbana nayo hata kama ni kusingziwa,bad attitudes dhidi yake ni obvious, hakuna sababu ya kuhold kuwa anafaa kuwa RAIS! he's dirty,morally unspeakable, thence with due respect i recommend him and his aliens to 4get such dream!
 
lowasa ni mzuri tu kwa kumlinganisha na chekibobu lakini hafai kuwa kiongozi wa serikali bado, ni mwizi bwana unataka nini ili uamini?
 
Teh teh.....................

Hoja ipi unataka,ukweli mbona uko dhahiri kwamba hata umuingize kwenye washing machine ama umsugue kwa steel wire kama sio dodoki huyo mtu hasafishiki........Ni mchafu sugu.......Period.

Hata aende Nigeria sijui kwa nabii Joshua et al.......Kamwambie hafai kuishi Magogoni...

Sababu za uchafu wake zinajulikana,sina haja ya kuziweka hapa,nitajaza bandwith bureeee.....

Bala.....
Hujajenga hoja kusema uchafu wake unajulikana haina maana yeyote ni sawa na wanafunzi kuandika kwenye pepa kuwa majibu yanajulikana sina haja ya kujibu swali.
 
Kama unamwangalia EL wa kashfa ya Richmond, basi unaweza ukaokoteza maneno ya kumsafisha na kufanikiwa. Tatizo ni kwamba tuhuma kwa EL hazijaanza na Richmond, wakati wa uchaguzi 1995, huyu ndugu alisemekana ni bepari-ana mali nyingi ambazo haziwezi kupatikana kihalali kwa mfanyakazi wa umma. Kama EL ni safi, tuanzie huko, hata kabla ya kashfa ya richmond. Atueleze mali anazomiliki na ili tumwamini, aeleze hata mali za watoto wake ambao ijapokuwa ni vijana wadogo tu, wana ukwasi kama wamerithi toka enzi na enzi.
 
Lowassa ndiyo mtu pekee anayeweza kulitoa taifa hili la tanzania kwenye umaskini huu wa kipato na fikra pia ikubukwe kwamba ndiye aliye engineer mchakato wote wa ujenzi wa chuo kikuu cha dodoma ingawa credit wanapewa watu wasiostahili kabisa , kwa kifupu tanzania kwa sasa. "WE NEED DEVELOPMENT NOT DEMOCRACY"
 
Umelipwa shilingi ngapi? au wewe ndo yule uliyeoa mtoto wa dada yake halafu akakusogeza BOT
 
Lowassa ndiyo mtu pekee anayeweza kulitoa taifa hili la tanzania kwenye umaskini huu wa kipato na fikra pia ikubukwe kwamba ndiye aliye engineer mchakato wote wa ujenzi wa chuo kikuu cha dodoma ingawa credit wanapewa watu wasiostahili kabisa , kwa kifupu tanzania kwa sasa. "WE NEED DEVELOPMENT NOT DEMOCRACY"
 
Back
Top Bottom