Technology
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 769
- 284
Sipati picha unakua na Rais kama Slaa, then PM Lowasa....
Huu ni mkakati wa kupata maoni hasi ili muweze kuyafanyia kazi mapema kwa lengo la kumuwezesha fisadi wenu kuchukua nchi. Na sio utawala wa nchiJenga hoja sio kukimbilia kusema anasafishwa,jenga hoja hapa,hii sio Forum ya Udaku!
Tatizo tunabadilisha na nini? Uitoe nchi kwa kundi la wahuni?For 50 years tumeongozwa na chama kimoja na kimeprove failure..2015 lazima tubadilishe ladha.
Tatizo kuu ni ufisadi wake! Anyway, ile ndege ya uchumi wa Tanzania bado iko uwanjani au imeanza kuondoka?Aseme ukweli alionao,Hakuna asiyejua UBORA wake,EL ni koingozi Shupavu na asiyeogopa mtu ,mkali na mwenye ushawishi mkubwa ndani ya Chama na serikali,na wote tunaona kwamba toka alipotoka kwenye wadhfa wake wa Uwaziri mkuu kwakweli Serikali na Chama vimepoteza Uimara wake na Serikali imepwaya sana kwa kiasi kikubwa tofauti na miaka ya 2006 na 2007!!!Anayebisha atoe Hoja yake hapa!